Chanjo ya Tatu Moja kwa Vifaranga

Chanjo ya Tatu Moja kwa Vifaranga

Sasa nina uzoefu wa miaka minne kwenye ufugaji wa ndege hao, nimetumia chonjo tofauti na hiyo kwa mafanikio, kosa niliyofanya ni kuiamini tatu moja, kwani nilipoteza 100% ya vifaranga, mbaya zaidi hata nilipojaribu kutumia contact walizoweka hawakujibu kitu. Be careful.
Sua wanajulikana ni miyeyusho tu,mimi hasara niliyopata sababu yao siwezi kusema hata mfugaji au mkulima aende pale kwa shida yoyote,acha waendelee kukaririshana notes na kujisifu ila huku field wametufilisi.
 
Sua wanajulikana ni miyeyusho tu,mimi hasara niliyopata sababu yao siwezi kusema hata mfugaji au mkulima aende pale kwa shida yoyote,acha waendelee kukaririshana notes na kujisifu ila huku field wametufilisi.
Duh!Mbona imenitisha Sana,ngoja na Mimi nifute kabisa tafiti zao
 
Ni aomba mnisaidie majina ya hizo chanjo nyingine ambazo ni reliable kuliko hoyo 3 mzuka
 
Mie huwa natumia tatu moja Ila ni ya kichina, inafanya vizuri tu.
Ni mara mbili sasa majirani wanapata hasara sababu hawachanji, mie kwangu napeta tu.Huwa nanunua mbezi karibu na QB Lounge.
Una namba zao naomba niwachek
 
Back
Top Bottom