#COVID19 Chanjo ya UVIKO-19: Wasiotaka kuchanjwa wafunguliwe kesi ya kutaka kujiua

kwe bara jeusi lolote linawezekana
 
Tuchanje mnatupa shilingi ngapi ngapi?, bora iwe nibiashara kila mtu afaidike sasa.
 
Kwa hio itabidi wabadili kauli ili iseme CHANJO NI LAZIMA. Na pia kwamba kutakua na adhabu kwa watakaogoma... na pawepo na mobile clinics kwa ajili ya maeneo yasiyo na zahanati...au?
 
Mdanganyeni tu Hangaya!
Hamumuhurumii mwenzenu?
Kila Kona analaumiwa.

Chama kilishamgomea chanjo,maana wanachama hawajachanjwa.
Wanachama 8m.wangekubali zilikuwa ziishe siku moja.

Unataka awalazimishe wananchi?wewe Kama unechanjwa kufa tu na misumu yako.
 
Ujerumani ndiyo ilikuwa nchi ya kwanza kuchanja raia wake wote na busta juu.

Inakuwaje tena inaongoza kwa maambukizi?
 
Mambo usiyoyaelewa vzr ni bora kukaa kimya
SOMA MANDIKO UENDE MBINGUNI SALAMA
HIZO MBWEMBWE WAACHIE WANASIASA.

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Kuchanjwa ni hiyari siyo lazima MKUU. Hata ukichanjwa sio garantii kwamba utaishi milele kifo kipo pale pale.

Tusitishane kaka wacha tupambane na hali yetu wanaotaka chanjo ni hiyari yao na wasiotaka maamuzi yao yaheshimiwe.
 
Mie nilichanja. Narudi tena tarehe 14 Disemba kumaliza dozi ya pili.
Iwe itavyokua. Anayependa achanje, asiyependa pia atajijua mwenyewe. Tusilazimishane.
 
Maamuma na mazuzu wanafikiri chanjo inazuia virusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…