Chanjo za Corona ni ovyo kabisa

Chanjo za Corona ni ovyo kabisa

Watanzania nyie hunifurahisha sana....nyie hujiona bora saana, halafu baadaye mnakuja kugundua ya kuwa mlikuwa mmepotea njia kweeeeli. mengi tunayo fanya kenya huwa mnaona ni kama upuzi halafu mtakuja kuyafanya baadaye tena kwa wasiwasi na mbio mbio.....barakoa tulivaa mkatutusi, sasa nawaona mkizivaa tena sana, lock down tukaweka mkaongea za ovyo mark my words you will soon have lock downs, halafu hizi chanjo mnatusi haitachukua muda kabla hamjaanza kuchanjwa tena kwa pupa..... hii ndio sababu moja mbaya ya kutotumia kingereza nchini na kukosa kuithamini. mambo mengi hamuelewi until when in dire need.
Anyway my advice to you people is this; mkiona kenya inafanya jambo fulani, basi igeni mara moja ili m save time na aibu. you are always a reactive country. its high time you people become proactive......hivyo namaanisha endeni na wakati...na kama hamko sure then angalia kenya wanafanya nini halafu muige immediately muepukane na aibu.
Kenya lazima mharakie kuchukua chanjo hata zikiwa zimekataliwa mataifa mengine kwa vile tu mumeshakula pesa nyingi za corona.
 
Watanzania nyie hunifurahisha sana....nyie hujiona bora saana, halafu baadaye mnakuja kugundua ya kuwa mlikuwa mmepotea njia kweeeeli. mengi tunayo fanya kenya huwa mnaona ni kama upuzi halafu mtakuja kuyafanya baadaye tena kwa wasiwasi na mbio mbio.....barakoa tulivaa mkatutusi, sasa nawaona mkizivaa tena sana, lock down tukaweka mkaongea za ovyo mark my words you will soon have lock downs, halafu hizi chanjo mnatusi haitachukua muda kabla hamjaanza kuchanjwa tena kwa pupa..... hii ndio sababu moja mbaya ya kutotumia kingereza nchini na kukosa kuithamini. mambo mengi hamuelewi until when in dire need.
Anyway my advice to you people is this; mkiona kenya inafanya jambo fulani, basi igeni mara moja ili m save time na aibu. you are always a reactive country. its high time you people become proactive......hivyo namaanisha endeni na wakati...na kama hamko sure then angalia kenya wanafanya nini halafu muige immediately muepukane na aibu.
Hakuna mpumbavu aliyewahi tokea Kenya kama wewe. Tz kwa sasa unaona kuna watu wanaovaa barakoa?
 
Mimi nimepata ya Pfizer; ile sindano ya kwanza haikuwa na tatizo lolote ila ile ya pili iliniuguza kesho yake nikashindwa kwenda kazini. Baada ya siku mbili mambo yote yakarudi sawa na maisha yanaendelea kama kawaida; niliambiwa niendelee kuwa na barakoa kwa mwezi mmoja na baada ya hapo ninaweza kwenda kilabuni kukata makarapusi bila barakoa tena!
Ulishajaribu kukaa na mwenye corona?
 
Hakuna mpumbavu aliyewahi tokea Kenya kama wewe. Tz kwa sasa unaona kuna watu wanaovaa barakoa?
Bado mko kwa ile denial period but soon very soon mtavaa tena kwa viboko....bado mko ujingani uerevu upo njiani waja..yaani ndio kawaida yenu ..lazima kwanza muonyeshane upumbavu weeeeenu halafu baaye ndio mfunguke macho.
 
Kwa hakika maradhi ya corona yameutikisa ulimwengu pakubwa sana. Kama ilivyo kwa maradhi yenyewe kutokueleweka vyema, pia na chanjo zake zimekuwa za kubahatisha sana kiasa kwamba tunaweza tukaziita chanjo za ovyo.

Chanjo 4 kubwa ndizo ambazo zimeshatangazwa na kuuzwa nje ya nchi zilikotengenezwa.

1. Astrazeneca ya Oxford-Uingereza: Zimetajwa kugandisha damu kwa baadhi ya wallochanjwa. Nchi kadhaa zimewahi kusitishwa halafu wakafungulia. Leo Denmark wamesitisha kabisa na kusema hawana haja nazo tena.

2. Sinovic ya China: Nchi ya mwanzo kununua na kutumia ni Brazil. Inasemekana maambukizi nchini humo kila siku yanaongezeka na juzi China imekiri chanjo hiyo ina ufanisi mdogo sana kiasi cha asilimia 50 tu.

3. Johnson & Johnson ya Marekani: Jinsi inavyotengenezwa kutumia mimba changa imepingwa na wengi na hata ufanisi wake nao una mashaka.Marekani kwenyewe na nchi kadhaa wamesitisha.

4. Sputnik ya Urusi: Haijasikika sana. ufanisi na shida zake hazijawekwa wazi.
Hali zote hizo ni miezi michache tu tangu kuanza kutumika kwa chanjo kuzuia corona.Haijulikani hali itakuwaje kwa waliochanjwa huko mbele

View attachment 1751923
Hii ndiyo itakuwa chachu ya nchi za kiafrika kuja na chano zao.
 
Hapo ndio umechanjwa,ukisikia kizunguzungu tu pressure inapanda,unaaanza kuhisi sijui ndio damu inaganda...!!
 
Watanzania nyie hunifurahisha sana....nyie hujiona bora saana, halafu baadaye mnakuja kugundua ya kuwa mlikuwa mmepotea njia kweeeeli. mengi tunayo fanya kenya huwa mnaona ni kama upuzi halafu mtakuja kuyafanya baadaye tena kwa wasiwasi na mbio mbio.....barakoa tulivaa mkatutusi, sasa nawaona mkizivaa tena sana, lock down tukaweka mkaongea za ovyo mark my words you will soon have lock downs, halafu hizi chanjo mnatusi haitachukua muda kabla hamjaanza kuchanjwa tena kwa pupa..... hii ndio sababu moja mbaya ya kutotumia kingereza nchini na kukosa kuithamini. mambo mengi hamuelewi until when in dire need.
Anyway my advice to you people is this; mkiona kenya inafanya jambo fulani, basi igeni mara moja ili m save time na aibu. you are always a reactive country. its high time you people become proactive......hivyo namaanisha endeni na wakati...na kama hamko sure then angalia kenya wanafanya nini halafu muige immediately muepukane na aibu.
Wangapi mumepata chanjo jirani zetu?
 
...Ili chanjo ikubalike na kutumika in lazima kuwe angalau na Majaribio ya Miaka Mitatu had I Saba!
Hii Corona imeanza kupamba moto hasa so zaidi ya Miaka miwili iliyopita!
Kinachofanyika sasa ni Majaribio ya haraka haraka tu ili Nchi na Makampuni yapige hela fasta kwa Maumivu ya Watu wengine!![emoji34][emoji34]
 
Mzee Magu, Mungu ampe anachostahili alikuwa na akili japo alikosea kitu kimoja ' kula kobis na kuachia vyombo vitangaze hatari ya vita hii. Alijivisha kazinya mamlaka mengine kuzungimza.

Mwenyezi Mungu ametuumba na Kinga bora.. bahat njema kwetu, hay mafua makali hayakuaza leo. Miili imeendelea kutengeneza Kinga vs kila aina ya kirusi... Sasa ulianza kujipigilia misuse kwenye damu unajiwekea matuzo....

Nawasilisha
 
Wangapi mumepata chanjo jirani zetu?
wengi tuu, sisi tuko tayari kupata chanjo, na viongozi wetu wana tushawishi tuchukue chanjo ila ni vile tu kuna utata kuhusu chanjo zenyewe kutokana na side effects....lakini nyinyi watanzania, hamtaki chanjo halafu viongozi wenu ndio wako mstari wa mbele kuwa tishia maisha kuhusu chanjo zenyewe na kuwaonya msizichukue...haya yote mnaenda kinyume na nchi zote duniani ikiwamo WHO yaani nyinyi tz upumpavu umewajaa saana.
 
wengi tuu, sisi tuko tayari kupata chanjo, na viongozi wetu wana tushawishi tuchukue chanjo ila ni vile tu kuna utata kuhusu chanjo zenyewe kutokana na side effects....lakini nyinyi watanzania, hamtaki chanjo halafu viongozi wenu ndio wako mstari wa mbele kuwa tishia maisha kuhusu chanjo zenyewe na kuwaonya msizichukue...haya yote mnaenda kinyume na nchi zote duniani ikiwamo WHO yaani nyinyi tz upumpavu umewajaa saana.
Tanzania baada kutawaliwa kwa miaka mingi na kusoma makosa yao yalikuwa wapi mpaka wazungu wakajiweka juu mpaka kwenye majina ya maziwa na mapango sasa imeamua kuwa huru kiuhalisia wake. Hivyo jambo hata likiletwa na WHO au US hailazimiki kulipokea kwa haraka

Kenya inajulikana mumeshakula pesa nyingi za misaada ya corona. Lazima mfanye kila wanavyotaka.Madhara mtayajua baadae.
 
wengi tuu, sisi tuko tayari kupata chanjo, na viongozi wetu wana tushawishi tuchukue chanjo ila ni vile tu kuna utata kuhusu chanjo zenyewe kutokana na side effects....lakini nyinyi watanzania, hamtaki chanjo halafu viongozi wenu ndio wako mstari wa mbele kuwa tishia maisha kuhusu chanjo zenyewe na kuwaonya msizichukue...haya yote mnaenda kinyume na nchi zote duniani ikiwamo WHO yaani nyinyi tz upumpavu umewajaa saana.
Kumbe bado mnautata fateni basi hayo masharti ya wazungu sisi bado hatuja athirika kwa kiwango chenu ikifikia hivyo tutachukua hatua

Kwa sasa tunamshukuru Mungu bado tuna dunda kama ulivo tuona kwenye mazishi ya viongozi wetu mpaka sasa hamna taalifa mbaya bado
 
Back
Top Bottom