Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama yupo anakula tu bata. Siasa Africa zinalipa sana.Hivi Mama Gwajima yupo? Amepoa sana. Utadhani siyo yeye
hapo hamnipatiHahaahaa!
Karibu tupate kinga.
Kwa namna nilivyofuatilia zinahitaji baridi sana na utunzaji wake ni mgumu ila haya mabarafu na madeli......mmh sijui lakiniSijui sasa wataalamu wa chanjo wanasemaje.
😀😀 Kila mtu akilii mukichwaKaribu sana...usiogope eti prezdaa ni bi shekhat hawezi kutuuza😂😂😂😂maneno ya jamaa mmoja hapa msikitini.
Ungeishia hapo juu tungekuelewa huku kwingine umetumwaNadhani serikali inawajibika vilivyo kuwafikishia wenye nchi huduma ya chanjo mpaka kwenye nyumba za ibada, hii imekaa vizuri sana na vibaya kwa wale wasiohitaji huduma hii ya chanjo.
Jamani ndugu watanzania jitokezeni mkachanjwe ili kujikinga na uviko19...serikali inawajali na kuwapenda sana..haiwezi kutulisha matangopori mabosi wake..ila mimi sijabahatikiwa kuchanja kwa sababu naogopa sindano..labda ingeletwa chanjo ya vidonge.
Binafsi siamini kama zinamudu......maana kuna sehemu kijijini nimewaona na hakuna umeme zipo kwenye madeli tu......anywei Acha waendelee kuchanja japo kwa ubaridi unaohitajika sidhani kama chanjo itabaki salamaKwa hiyo zile barafu mbona ni ngumu sana kwa hiyo hazimudu kuhifadhi chanjo yetu?