#COVID19 Chanjo zimefika hapa msikitini leo

#COVID19 Chanjo zimefika hapa msikitini leo

sheikh wa bakwata anasisitiza kuchanja utafikiri mtume alichanja corona
 
Jambo zuri, siku nyingine kama ni msikini wapeleke wachanjaji waisalamu. Mwanamke na mwanaume
 
mkuu ulivyoanza kwa mhimizo huo, sikutegemea kama ungekula kona mwishoni kwa kisingizio cha kuogopa sindano. 😀😀 Asante kwa mwaliko lakini ......mh!
Hahaahaa!
Karibu tupate kinga.
 
Video.
 

Attachments

  • 20211005_135239.mp4
    36.8 MB
Kwa namna nilivyofuatilia zinahitaji baridi sana na utunzaji wake ni mgumu ila haya mabarafu na madeli......mmh sijui lakini
Kwa hiyo zile barafu mbona ni ngumu sana kwa hiyo hazimudu kuhifadhi chanjo yetu?
 
Nadhani serikali inawajibika vilivyo kuwafikishia wenye nchi huduma ya chanjo mpaka kwenye nyumba za ibada, hii imekaa vizuri sana na vibaya kwa wale wasiohitaji huduma hii ya chanjo.

Jamani ndugu watanzania jitokezeni mkachanjwe ili kujikinga na uviko19...serikali inawajali na kuwapenda sana..haiwezi kutulisha matangopori mabosi wake..ila mimi sijabahatikiwa kuchanja kwa sababu naogopa sindano..labda ingeletwa chanjo ya vidonge.
Ungeishia hapo juu tungekuelewa huku kwingine umetumwa
 
Kwa hiyo zile barafu mbona ni ngumu sana kwa hiyo hazimudu kuhifadhi chanjo yetu?
Binafsi siamini kama zinamudu......maana kuna sehemu kijijini nimewaona na hakuna umeme zipo kwenye madeli tu......anywei Acha waendelee kuchanja japo kwa ubaridi unaohitajika sidhani kama chanjo itabaki salama
 
Back
Top Bottom