JM K
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 616
- 545
Akijibu nijulisheOy kwa sisi wa DSM tunaweza kuipata milan cable?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akijibu nijulisheOy kwa sisi wa DSM tunaweza kuipata milan cable?
Cable TV ni miwaya kaka kama ya ttcl mpaka ifike dar haiwezekani!!mitaa ya upanga cable TV zilikuwapo kitambo sijui SIKU hizi!!Oy kwa sisi wa DSM tunaweza kuipata milan cable?
NishamjibuAkijibu nijulishe
Nashkuru kwa hilo. Nimeelewa vyema sasaNishamjibu
Milan cable kufunga ni bei gani? Na gharama za vifurushi kwa mwezi?Milan Cable Arusha tunakula game zote duniani kimyakimya!!!
kufunga sijui ni laki na elf 20,kwa mwezi malipo elfu 20 tu!!!Milan cable kufunga ni bei gani? Na gharama za vifurushi kwa mwezi?
Stream tu au dstvya mwaka huu vipi wakuu?
Uku nilipo nalipa sh 7500 tu game zote livekufunga sijui ni laki na elf 20,kwa mwezi malipo elfu 20 tu!!!
Unatumia kipi mkuu utujulishe?Uku nilipo nalipa sh 7500 tu game zote live
[emoji4] Maisha hayajawahi kuwa fair
Sent using Jamii Forums mobile app
Television za bongo ni za ki-senge kweli,yaani hakuna hata TV moja ya tz inayorushaga uefa champions league live
Unatumia nini mkuu?Uku nilipo nalipa sh 7500 tu game zote live
[emoji4] Maisha hayajawahi kuwa fair
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatumia nini mkuu?