The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Wakati wa Magufuli ..siku moja alienda kutembelea Mali za chama akaenda kutembelea kituo maarufu cha TV cha Channel ten.
Ndo tukatangaziwa kuwa na chenyewe ni Mali ya Chama Cha Mapinduzi...
Wanaojua historia ya channel ten na kampuni iliyokuwa inamiliki hiyo channel
ya African Media Group..pamoja na channel zingine kama Dtv na baadae CTN..tulibaki mdomo wazi..
Swali langu lini CCM ilinunua hiii kampuni?
Au ndo moja ya 'uporaji 'uliofanywa?
Kuna mwenye maelezo ya kina??
Cc Pascal Mayalla ..wewe umewahi fanya kazi African Media Group.. Unajua lolote??
Ndo tukatangaziwa kuwa na chenyewe ni Mali ya Chama Cha Mapinduzi...
Wanaojua historia ya channel ten na kampuni iliyokuwa inamiliki hiyo channel
ya African Media Group..pamoja na channel zingine kama Dtv na baadae CTN..tulibaki mdomo wazi..
Swali langu lini CCM ilinunua hiii kampuni?
Au ndo moja ya 'uporaji 'uliofanywa?
Kuna mwenye maelezo ya kina??
Cc Pascal Mayalla ..wewe umewahi fanya kazi African Media Group.. Unajua lolote??