Channel Ten ilikuwa Mali ya CCM kuanzia lini?

Channel Ten ilikuwa Mali ya CCM kuanzia lini?

Rostam Aziz aliwapa CCM hicho chombo ili kununua uhuru wa mdogo wake yule aliyekuwa anaendesha jeshi na mtandao mkubwa wa ujangili. Hiyo Chanel Ten na Magic FM ni pembe za ndovu wetu waliouwawa na hili jangili la Kiajemi. Tunaposema CCM ni genge la kihalifu linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala mtuelewe.
 
Wakati wa Magufuli ..siku moja alienda kutembelea Mali za chama akaenda kutembelea kituo maarufu cha TV cha Channel ten.

Ndo tukatangaziwa kuwa na chenyewe ni Mali ya Chama Cha Mapinduzi...

Wanaojua historia ya channel ten na kampuni iliyokuwa inamiliki hiyo channel
ya African Media Group..pamoja na channel zingine kama Dtv na baadae CTN..tulibaki mdomo wazi..

Swali langu lini CCM ilinunua hiii kampuni?
Au ndo moja ya 'uporaji 'uliofanywa?

Kuna mwenye maelezo ya kina??

Cc Pascal Mayalla ..wewe umewahi fanya kazi African Media Group.. Unajua lolote??
The boss siamini kama kuna chombo cha habari ambacho si mali ya CCM.
Na sio vyombo vya habari hata wanahabari wote Tanzania walishanunuliwa na CCM. Fikiria uandishi wa mtu kama Mayallah katika miaka 5 oliyopita. Fikiria magazeti ya Musiba nk
 
Wakati wa Magufuli ..siku moja alienda kutembelea Mali za chama akaenda kutembelea kituo maarufu cha TV cha Channel ten.

Ndo tukatangaziwa kuwa na chenyewe ni Mali ya Chama Cha Mapinduzi...

Wanaojua historia ya channel ten na kampuni iliyokuwa inamiliki hiyo channel
ya African Media Group..pamoja na channel zingine kama Dtv na baadae CTN..tulibaki mdomo wazi..

Swali langu lini CCM ilinunua hiii kampuni?
Au ndo moja ya 'uporaji 'uliofanywa?

Kuna mwenye maelezo ya kina??

Cc Pascal Mayalla ..wewe umewahi fanya kazi African Media Group.. Unajua lolote??
Walioungana wazi wazi na ccm kwa mgongo wa magu watajiangalia wao. Magu kaondoka.
 
Channel ten umiliki wa asilimia 70 alikuwa Rostam Aziz na huyo mwenzake alikuwa na asilimia 30. Vodacom pia majority share holder alikuwa Rostam kwa hisa nadhani asilimia 60 ila baada ya Jiwe kuingia madarakani akazipunguza akabakia na asilimia 40 hivyo akaondoka kwenye kuwa mmiliki mkuu wa Vodacom akawaachia makaburu.

Sasa wakati wa uhakiki wa mali za CCM ulipofanyika Bashiru akatoa tuhuma kuwa Rostam enzi akiwa mweka hazina alikiibia chama fedha nyingi. Kama kawaida genge la utaifishaji likamuita likamwambia aidha alipe, au atoe umiliki wote wa hisa zake za makampuni hayo mawili ziende kwa CCM au apigwe uhujumu uchumi na biashara zake zote zipotee jumla. Ikabidi mwamba awe mpole aachie alichoamriwa. Tokea hapo ghafla lichannel ten na vijitawi vyake vyote likawa chini ya maccm kama wamiliki wakuu na hata yule mmiliki mwenza wakanunua vihisa vyake alivyokuwa anamiliki kama minority share holder wa Rostam kwa bei ya hasara kwa madai eti alikuwa hachangii fedha za kuendeleza kampuni badala yake alikuwa anasubiria tu kula faida. Na Vodacom nayo ikawa na sehemu ya umiliki wa maccm kama minority share holder ingawa walitaka nayo kuiteka jumla. Nashukuru jamaa ameondoka jumla kabla misheni haijakamilika. Yani watu washukuru tena na tena maana vinginevyo sijui!

Nina list ya makampuni kama 15 hivi ambayo serikali ya JIWE iliyachukua kibabe. Yani ilikuwa hivi. Unaitwa kwenye kachumba kamoja kwenye jengo maarufu la TAKUKURU pale mjini huko unakutana na yale ma tycoon ya JIWE kisha unapigiwa hesabu ya kodi tangia uloponunua kampuni kutoka serikalini mwaka 1997 enzi ya ubinafsishaji mpaka mwaka 2019 ambapo ndipo mwaka Jiwe alifanya uporaji. Mwanangu kudadeki huo mkodi unaokadiriwa hata hiyo kampuni uiuze kwa wateja wanne tofauti kitapeli bado huwezi kuulipa. So unapewa option B ya kuwaachia kampuni kiroho safi na wewe unapewa mkataba wa ajira wa miezi 6. Ukishindwa hapo unakutana na ka task force ka uhujumu uchumi ambako kaliundwa maalum kwa kazi hiyo. Yani wote waliokumbana na hili sekeseke wakaishia kuachia umiliki wa mzigo ukaenda serikalini jumla huku wanatumbua macho. Yani unaiona kampuni ileeee inasepa kiulaini kama inateleza. Na ni makampuni makubwa yenye umiliki wa mabilioni ya fedha.

Mwanangu JIWE alikuwa SUMU!
Hizo hizo 60% za rostam vodacom zimeufanya mchango wako wote ukose credibility...unachangia kihisia sana kuliko uhalisia.
Anyway kabla ya kuuza hisa zake Rostam alimiliki 35% ya vodacom kupitia kampuni inaitwa Milambo na sio 60% km unavyotaka kutupiga kamba, na hata hisa za milambo ktk vodacom ni vodacom hao hao waliozilipia km capital the money didnt come from him(kuna gazeti moja la SA liliandika hii habari)..yy ilikua connection tu na connection ilitoka kwa balozi wa Tanzania SA Balozi Mpungwe huyu yy alipata deal la kuuza vocha...hii Milambo ilipaswa kua kampuni ya ccm, how it end mikononi wa Rostam vigogo wa juu wa ccm ndo wanajua vzuri zaidi.
 
Ccm ilikua Ina hisa kwenye kampuni hii kupitia kwa aliekuwa mweka hazina wa CCM ndugu Rostam Aziz

Alipoingia Magufuli akateua kamati kufuatilia Mali za CCM, ikagundulika hisa za CCM bado zipo mikononi mwa Rostam. Rostam alipoambiwa akaziachia mara moja na kuifanya CCM kuwa mmiliki halali
Hapo kwenye red, hakuna maelezo zaidi?.
 
Milambo ilikuwa kampuni ya nini?
Hizo hizo 60% za rostam vodacom zimeufanya mchango wako wote ukose credibility...unachangia kihisia sana kuliko uhalisia.
Anyway kabla ya kuuza hisa zake Rostam alimiliki 35% ya vodacom kupitia kampuni inaitwa Milambo na sio 60% km unavyotaka kutupiga kamba, na hata hisa za milambo ktk vodacom ni vodacom hao hao waliozilipia km capital the money didnt come from him(kuna gazeti moja la SA liliandika hii habari)..yy ilikua connection tu na connection ilitoka kwa balozi wa Tanzania SA Balozi Mpungwe huyu yy alipata deal la kuuza vocha...hii Milambo ilipaswa kua kampuni ya ccm, how it end mikononi wa Rostam vigogo wa juu wa ccm ndo wanajua vzuri zaidi.
 
Ccm ilikua Ina hisa kwenye kampuni hii kupitia kwa aliekuwa mweka hazina wa CCM ndugu Rostam Aziz

Alipoingia Magufuli akateua kamati kufuatilia Mali za CCM, ikagundulika hisa za CCM bado zipo mikononi mwa Rostam. Rostam alipoambiwa akaziachia mara moja na kuifanya CCM kuwa mmiliki halali
Hilo swala ni sawa na Vodacom
 
Anafanya kazi CCM Halafu ametoka China kwenye tripu ya kikazi ya serikali?
Hiyo TV kama siyo serikali (ya CCM) basi CCM wenyewe wana umiliki au ufadhili kwa namna fulani.
Au taasisi fulani ya kiserikali. Ulikuwa ni kama msafara fulani hivi wa semina.
 
CCM jamani...kila mara nawakumbusha Watanzania kuwa adui mkubwa wa taifa hili ni CCM;
  • CCM ilipora mashirika ya umma
  • CCM ilipora majengo ya umma
  • CCM ilipora viwanja vya umma
  • CCM ilipora vyombo vya umma
  • CCM ilipora serikali ya wananchi
Chini ya dikteta uchwara Magufuli mambo yakawa mabaya zaidi...
  • CCM ikapora bunge la wananchi
  • CCM ikapora mahakama ya wananchi
  • CCM ikapora usalama wa wananchi
  • CCM ikapora haki ya wananchi
  • CCM ikapora uhuru wa wananchi
Matokeo yake hali ikawa ya kutisha chini ya mwenyekiti wa CCM, John Pombe Magufuli
  • Kauli ya Magufuli ikawa ndio katiba ya nchi
  • Haki ya Mtanzania ikawa ni hisani ya Magufuli
  • Uhuru wa Mtanzania ukawa ni hisani ya Magufuli
  • Usalama wa Mtanzania ukawa hisani ya Magufuli
  • Uhai wa Mtanzania ukategemea utashi wa Magufuli
Jamaa nilishamsahau huyu .... Duh Maghufuli RIP
 
Hivi huyo tramontano yupo au alitimuliwa nchini

Ova
 
Wakati wa Magufuli ..siku moja alienda kutembelea Mali za chama akaenda kutembelea kituo maarufu cha TV cha Channel ten.

Ndo tukatangaziwa kuwa na chenyewe ni Mali ya Chama Cha Mapinduzi...

Wanaojua historia ya channel ten na kampuni iliyokuwa inamiliki hiyo channel
ya African Media Group..pamoja na channel zingine kama Dtv na baadae CTN..tulibaki mdomo wazi..

Swali langu lini CCM ilinunua hiii kampuni?
Au ndo moja ya 'uporaji 'uliofanywa?

Kuna mwenye maelezo ya kina??

Cc Pascal Mayalla ..wewe umewahi fanya kazi African Media Group.. Unajua lolote??
Bashiru ndiye aliteitaifisha channel ten kuwa mali ya CCM. Sasa bashiru yuko bungeni kama kawaida ya CCM kudondosha viongozi ukifanya yako
 
Hizo hizo 60% za rostam vodacom zimeufanya mchango wako wote ukose credibility...unachangia kihisia sana kuliko uhalisia.
Anyway kabla ya kuuza hisa zake Rostam alimiliki 35% ya vodacom kupitia kampuni inaitwa Milambo na sio 60% km unavyotaka kutupiga kamba, na hata hisa za milambo ktk vodacom ni vodacom hao hao waliozilipia km capital the money didnt come from him(kuna gazeti moja la SA liliandika hii habari)..yy ilikua connection tu na connection ilitoka kwa balozi wa Tanzania SA Balozi Mpungwe huyu yy alipata deal la kuuza vocha...hii Milambo ilipaswa kua kampuni ya ccm, how it end mikononi wa Rostam vigogo wa juu wa ccm ndo wanajua vzuri zaidi.
Uongo mtupu. Rostam mwaka 2016 alipunguza hisa zake hadi kufikia 40% huko Vodacom baada ya kupewa uchungu mkweli utakaokuja baadaye. Kwa kuwa hakuwa ba sauti Vodacom akahisi atakuwa safe huku akivuta gawio kimya kimya ila Jiwe akaingia humo humo chimbo akazidaka na sasa maccm ndiyo yanamiliki hizo hisa asilimia 40. Na hapo palikuwa na ugomvi mkubwa kati ya Kinana na Jiwe.
 
Rostam Aziz aliwapa CCM hicho chombo ili kununua uhuru wa mdogo wake yule aliyekuwa anaendesha jeshi na mtandao mkubwa wa ujangili. Hiyo Chanel Ten na Magic FM ni pembe za ndovu wetu waliouwawa na hili jangili la Kiajemi. Tunaposema CCM ni genge la kihalifu linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala mtuelewe.
Kwanini mali husika hazikuenda serikalini zikapelekwa ccm?
 
Kwanini mali husika hazikuenda serikalini zikapelekwa ccm?
Ni utekekezaji wa Sera za Bashiru Ally za kutumia dola kuendelea kutawala
JamiiForums1791349533.jpg
 
Back
Top Bottom