[emoji848][emoji848]View attachment 1755116View attachment 1755117
Wote hao walimuuzia hisa Rostam kupitia ccm[emoji848][emoji848]View attachment 1755116View attachment 1755117
Ccm ilikua Ina hisa kwenye kampuni hii kupitia kwa aliekuwa mweka hazina wa ccm ndugu Rostam Aziz
Alipoingia Magufuli akateua kamati kufuatilia Mali za ccm,ikagundulika hisa za ccm bado zipo mikononi mwa Rostam
Rostam alipoambiwa akaziachia mara na kuifanya ccm kuwa mmiliki halali
Hapo Sasa nenda kapekue file BRELA,unalipa 30,000 unaletewa file mezani unachambua ukurasa kwa ukurasa
Anaanzaje?Utaona RAziz ataidai
Wote hao walimuuzia hisa Rostam kupitia ccm
Wote hao walimuuzia hisa Rostam kupitia ccm
Sisiem ilimpora kupitia Task ForceWalimuuzia Rostam au waliizuia CCM?
Wote hao walimuuzia hisa Rostam kupitia ccm
Ni uamuzi wa kamati kuu chini ya mkapaCCM kuwa na hisa kupitia mweka hazina maana yake ndio nini?
Zilikuwa Hisa asilimia ngapi??