Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,403
- 12,775
Hii inazidi kutupa mwangwi wa aina ya watu wanaotutawala..haiwezekani mtu mwenye akili timamu kubuni aina hii ya tangazo,tena dakika za majeruhi..nadani ni dalili za mfa maji..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thats a Gud money for CHADEMA. Kumshitaki huyo alietoa tangazo, na chombo kilichorusha hilo tangazo, kwa kutumia picha zao bila ridhaa ya mwenye picha maana hiyo si kampeni yao.
Sidhani kama sheria inaruhusu kutumia picha za mgombea pinzani kufanya kampeni. Hilo Tangazo halina tofauti na mtu aliyechana na kuvalisha Mbwa Fulana za kampeni ya Mgombea pinzani.
<br />Hata swali walilouliza hapa kwa mgombea la kisenge tu