Channel za utu uzima kwa watumiaji wa DSTV

Tupe hy ya My tv tunafanyaje kupata software.
 
Dar zinapatikana decoder ambazo unaziconect na net(pia zipo ambazo unaweka sim card iliyowekwa internet bunddle) unapata all DSTV channels,nimeona kwa macho yangu na zipo zinafanya kazi bila tatizo.
Ila hii ya porno ni hivi
1.DSTV awajaanza na bado wana safari ndefu kurusha Ngono (Adult Content on DStv - Forum)
2.Decoder za DSTV zina network lock (kama vile simu zenye tumia line moja)so aziwezi nasa TV station nyingine as free to air recievers.
3.DSTV receivers zaweza kuwa free to air kama uta futa software ya multchoice na kuload patched receiver software.
Nnakuambia haya kama mtaalam ambaye nimecheza na hivi vitu zaidi ya mika 10.
Alieanzisha uzi huu sio mkweli anapotezea watu muda
 
nshawachakachua kitambo.....nakula chanel zao zote bure kabisa....decoda yao nshatupa kule....

Mkuu mie natumia decoda ya STRONG je, naweza pata channel za DSTV kwa maujanja kama yako?...naomba maujuzi...

 
wakuu haya maujuzi si ya kumwaga kwa watu ambao hatufaamiani...kati yenu kuna maagent wa dstv wakishajua anawatonya makabulu wanadisconect...kifupi ni kwamba jamaa anayefanya hizi mambo anatoka huko huko dstv...mchekini mkuu Chipukizi hapo juu naona ana ujanja mwingine...
 
Last edited by a moderator:
oya mwenye hayo maujanja ya dstv antafute kumd kuna ela ya kula
 


hapo patamu

mkuu jee? Gtv waweza ifanyia maujanja
 
Wakuu sie wenye star times je?
 

mkuu heshima yako. Vipi usha rudi dar???
 
Tuchekiane pm kaka kuna ela ya kula huku
 
hamieni mikoani, wazee wa cable wanakufungia unakula channels zaidi ya hizo za Dstv kwa sh elf 10 tu kwa mwezi
 
Na wale wenye mediacom 930 haiwezekani?
 
Tumia avatar unapata hizo channel za dstv free kabisaa
 
From the above procedures I haven't suceed to locate DSTV PAS7
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…