Ngumu kumeza
JF-Expert Member
- Jun 19, 2012
- 577
- 354
Yaani..walikuwa na ushirikiano wa hali ya juu sana, sasa sijui ni shetwani gani alikuja kupita kati yao hawa ndugu....Mi naanzia pale Msanii na Meneja wake walipoenda kwenye Tuzo kwa Madiba! Kutokana na jiji la Capetown hiyo cku kuwa na wageni wengi kupita kiasi; ikashindikana Meneja na Msanii wake kupata vyumba viwili na hivyo kulazimika "bila kupenda" Meneja ku-share room na Msanii wake!
Hitimisho la simulizi yangu ni kibao Rafiki kwahiyo mwingine anaweza kuongeza nyama!
Kikulacho hakipo mbali! Kumbe walikuwa watu wa karibuYaani..walikuwa na ushirikiano wa hali ya juu sana, sasa sijui ni shetwani gani alikuja kupita kati yao hawa ndugu....
Ume kong'ota target.Jide ana low self esteem, possibly as a result of her not having a child. Sasa hii imempelekea kuwa na poor self-image. She wrongly thinks that all people surrounding her view her through the mirror of her not having a child. Hii inamfanya anakuwa na overreacting even for things that are generally minor. This problem is basically psychological, and for such problems to be solved, they demand more self-awareness than the help of others. Yaani in short ni yeye mwenyewe anapaswa atambue tatizo lake.