Tetesi: Chanzo cha afisa biashara aliyechana Quran tukufu ni kurogwa; aliwatesa wafanyabiashara katika ukaguzi wa leseni

Kuna meneja wa TRA mmoja huko kigamboni aliwahi piga faini duka moja la hardware faini ya 10mil kwa kosa la kusahau kutoa listi kwa mteja, lakini baada ya wiki meneja huyo aliumwa ugonjwa wa ajabu uliopelekea yeye kuacha kazi
Imani za kale kabisa hizi. Dunia ya sasa hazina nafasi. At least kwa nchi zilizoendelea. Huu ujinga umebaki huku kwetu madongo kuinama!
 
hakuna kipapai hapo,jamaa kachana kweli kitabu anachoamini si maneno ya MUNGU wa kweli, na kachana kweli
 
Nilisema kuwa ametengenezewa kesi. Hiyo quran angeitoa wapi katika mazingira hayo. Mtu anampa mtu quran eti chana hii kama inachanika huku akijua itachanika. Na hizi ndo zimekuwa tabia za waislam kuanzisha chokochoko wapate pa kuanzia ugomvi. Tutafika?
 
Hata Mimi niliwaza hivyo. Huyu Jamaa NI mwendawazimu. Katika Hali ya kawaida MTU ambae kichwani zinamtosha hawezi kufanya upuuzi kama huo tena mbele ya camera
Mkuu mbona machizi Ni wengi tu, Kuna aliyechana Katiba ya chadema akatoa ukomo wa mwenyekiti, Kuna aliyeenda kuziba mkopo wa shule WB,

Kuna jamaa alitunga sheria hakuna aliyeitekeleza hata mmoja na Sasa inabadilishwa Tena hao wote Ni kundi moja tofauti Ni %
 
Huyo mganga tunamhitaji tumkabidhi kesi ya waliomdhuru Lissu
 
Unafikili mnapojaa kwa mangi huwa hakuna dawa? Wee wa wapi! Kichwa cha kondoo huwa kipo chini hapo tayali
Kama vile Mshana Jr anavyotujaza kwenye nyuzi zake🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️
 
Asubiri yatokanayo....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asubiri yatokanayo....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu atakuwa mpumbavu wa akili,kwa hiyo angeambiwa,ainame,atiwe dushe,angeinama kwa ujinga wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna meneja wa TRA mmoja huko kigamboni aliwahi piga faini duka moja la hardware faini ya 10mil kwa kosa la kusahau kutoa listi kwa mteja, lakini baada ya wiki meneja huyo aliumwa ugonjwa wa ajabu uliopelekea yeye kuacha kazi
Uchawi haupo, huo ni uongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…