data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
Basi huyo aliyempa korani na kumrekodi kisha kushare alitupiwa jini Mwalimu mkongwe.Hakuna chuki yoyote! Itakuwa yule jamaa alitupiwa kajini kanafunzi !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi huyo aliyempa korani na kumrekodi kisha kushare alitupiwa jini Mwalimu mkongwe.Hakuna chuki yoyote! Itakuwa yule jamaa alitupiwa kajini kanafunzi !
Hayo maeneo aliyochania hiyo quran me napajua ni opposite na stendi ya mabasi ya kilosa kuna bar inaitwa Shinyanga then pembeni kuna kijiwe cha bodaboda. Hao bodaboda huwa wanaanza kuwatania walevi wa hiyo bar kwa kuwaambia kuwa hawawezi kufanya jambo fulani hata akilewa vipi. Sasa mlevi akiona hivyo anatafuta namna ya kudhihirisha atafanya nini ili aonekane jasiri.
Huyo afisa biashara ni mlevi mbwa alikuja kulewa hapo bar, baada ya kulewa ndo akakutana na bodaboda wakaanza kumwita mlokole gani wewe unalewa hovyo, akajibu dini yake ndo bora kuliko dini yoyote hata hao waislam si lolote kwake. Bodaboda mmoja akampa juzuu amma akamwambia ichane hii kama unaweza. Huyo mlevi akaichukua akaanza kuichana huku wanamrekodi video. Ndio mwanzo wa hiyo issue.
So yawezekana ni kweli karogwa ndo maana anafanya vitu nje ya self control au pombe ndio imempelekea kupata ujasiri wa kuchana maneno ya Allah (s.w)
Mengine nawaachia wahusika!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi naamini hakuna chuki kati ya Waislamu na Wakristo Nchi hii zaidi ya kuwa turufu ya Wanasiasa tu! Wakristo wana nyumba, wapangaji Waislamu! Waislamu wana nyumba, Wapangaji wakristo! Huku Uswahilini mpk vyakula tunapeana! Tunapanda mabasi pamoja, shule na vyuo tunasoma pamoja!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii meseji yako imemaliza kila kitu.Hayo maeneo aliyochania hiyo quran me napajua ni opposite na stendi ya mabasi ya kilosa kuna bar inaitwa Shinyanga then pembeni kuna kijiwe cha bodaboda. Hao bodaboda huwa wanaanza kuwatania walevi wa hiyo bar kwa kuwaambia kuwa hawawezi kufanya jambo fulani hata akilewa vipi. Sasa mlevi akiona hivyo anatafuta namna ya kudhihirisha atafanya nini ili aonekane jasiri.
Huyo afisa biashara ni mlevi mbwa alikuja kulewa hapo bar, baada ya kulewa ndo akakutana na bodaboda wakaanza kumwita mlokole gani wewe unalewa hovyo, akajibu dini yake ndo bora kuliko dini yoyote hata hao waislam si lolote kwake. Bodaboda mmoja akampa juzuu amma akamwambia ichane hii kama unaweza. Huyo mlevi akaichukua akaanza kuichana huku wanamrekodi video. Ndio mwanzo wa hiyo issue.
So yawezekana ni kweli karogwa ndo maana anafanya vitu nje ya self control au pombe ndio imempelekea kupata ujasiri wa kuchana maneno ya Allah (s.w)
Mengine nawaachia wahusika!!
Sent using Jamii Forums mobile app
NdiyoNa familia nyingi,nusu wakristo,na nusu waislamu.Wanakutana kwenye msiba,sherehe,mikutano ya ukoo.Wapo wafanyakazi wakristo wa majumbani,wanafanya kwa waislam na wapo wafanyakazi waislamu,wanafanyakazi kwa wakristo,na wanaishi na kulala,nyumba moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na familia nyingi,nusu wakristo,na nusu waislamu.Wanakutana kwenye msiba,sherehe,mikutano ya ukoo.Wapo wafanyakazi wakristo wa majumbani,wanafanya kwa waislam na wapo wafanyakazi waislamu,wanafanyakazi kwa wakristo,na wanaishi na kulala,nyumba moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo angepewa Kondom angeivaa palepale?Dogo alikua anatokea Shinyanga bar. Jiulize juzuu kaitoa wapi kama sio muislamu aliyempa?
Mapolisi jiulizeni kaitoa wapi na ndani ya bar hakuwa nayo? Na huyo aliyempa juzuu muulizeni kwanini alimpa?
Kitu kinachotupa stress siku hizi ni watu wapumbavu wasiotumia akili kama wewe.Kwahiyo angepewa Kondom angeivaa palepale?
unavuta bange mkuu?watakuja kukwambia hata ulichoandika kimesababishwa na mmeaHayo maeneo aliyochania hiyo quran me napajua ni opposite na stendi ya mabasi ya kilosa kuna bar inaitwa Shinyanga then pembeni kuna kijiwe cha bodaboda. Hao bodaboda huwa wanaanza kuwatania walevi wa hiyo bar kwa kuwaambia kuwa hawawezi kufanya jambo fulani hata akilewa vipi. Sasa mlevi akiona hivyo anatafuta namna ya kudhihirisha atafanya nini ili aonekane jasiri.
Huyo afisa biashara ni mlevi mbwa alikuja kulewa hapo bar, baada ya kulewa ndo akakutana na bodaboda wakaanza kumwita mlokole gani wewe unalewa hovyo, akajibu dini yake ndo bora kuliko dini yoyote hata hao waislam si lolote kwake. Bodaboda mmoja akampa juzuu amma akamwambia ichane hii kama unaweza. Huyo mlevi akaichukua akaanza kuichana huku wanamrekodi video. Ndio mwanzo wa hiyo issue.
So yawezekana ni kweli karogwa ndo maana anafanya vitu nje ya self control au pombe ndio imempelekea kupata ujasiri wa kuchana maneno ya Allah (s.w)
Mengine nawaachia wahusika!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Avue nguo ili uone nini usichokijua wewe mwizi wa waume za watu.Huyu jambaa Ni jeuri asilia uchawi unasingiziw. Angevua zote tuamini kweli karogwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani kipapai cha kuchana Quran tu!!Ila hata kama ni kweli kapigwa kipapai lakini naturally jamaa ni mtemi.
Acha bhangiKitu kinachotupa stress siku hizi ni watu wapumbavu wasiotumia akili kama wewe.
Aisee!!Huo uchawi unapatikanaje ili tuangalie namna ya kukiteketeza kabisa hiki kijitabu cha majini na mashetani
Hayo maeneo aliyochania hiyo quran me napajua ni opposite na stendi ya mabasi ya kilosa kuna bar inaitwa Shinyanga then pembeni kuna kijiwe cha bodaboda. Hao bodaboda huwa wanaanza kuwatania walevi wa hiyo bar kwa kuwaambia kuwa hawawezi kufanya jambo fulani hata akilewa vipi. Sasa mlevi akiona hivyo anatafuta namna ya kudhihirisha atafanya nini ili aonekane jasiri.
Huyo afisa biashara ni mlevi mbwa alikuja kulewa hapo bar, baada ya kulewa ndo akakutana na bodaboda wakaanza kumwita mlokole gani wewe unalewa hovyo, akajibu dini yake ndo bora kuliko dini yoyote hata hao waislam si lolote kwake. Bodaboda mmoja akampa juzuu amma akamwambia ichane hii kama unaweza. Huyo mlevi akaichukua akaanza kuichana huku wanamrekodi video. Ndio mwanzo wa hiyo issue.
So yawezekana ni kweli karogwa ndo maana anafanya vitu nje ya self control au pombe ndio imempelekea kupata ujasiri wa kuchana maneno ya Allah (s.w)
Mengine nawaachia wahusika!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa taarifa. He was the under influence of alcohol. Jeshi la polisi lianze na aliyemchukua video, na aliyempatia hiyo kurani ili liwe fundisho kuacha kufanya intimidation.
Nakwambia yule kayakanyaga anapewa full dozi akipona ashukuru sanaKwahyo jamaa ilikuwa framed ..pombe ndyo imesababisha walengwa kutimiza lengo lao la kumframe jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo jamaa leo na magu kampa za usoHiyo sio excuse maana hata mume wa zamaradi watu walimpandisha hasira ili wamrekodi akiwa na bastola