Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Great thinker mpo badoKwamba itakua ni shambulio la makusudi ama kujitoa mhanga baada ya Trump kuwatimua jeshini wote waliobadili jinsia,,?
Ngoja tuone hao wanajeshi walikuwa mashoga ama
Kila kitu kinawezekana
Ila wanasema kulikuwa na upungufu wa controllers hapo airport
Hao hao ndio walikuwa wanaruhusu ndege zitue na hao hao wanaruhusu zipae huku wakitoa uangalizi wa helicopter za jeshi na ndege
Bado kuna masiku mbeleni kujua