mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Hakuna maslahi..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wa gahawa atakuambia mamy aliandaliwa muda mrefu ndiyo maana ilikuwa karibu sana na Kennedy kuliko mtangazaji yeyote pale mawingu.Kennedy the remedy naye simsikii kabisa kulikoni
Wanadai eti anaumwa, nimeambiwa na mtu hapa ambaye anasikilizaga XXL kila siku... Mimi ubusy umenifanya nisiwe nasikiliza redio sana. Pia B12 akiwaonge na Jonijo kwenye kipindi cha gerezani alisema kwamba Majizzo alimfuata toka EFM imeanzisha alikuwa akimsumbua akawa anazingua, ila later akaona kile kinachomfurahisha kwenye music industry kama huku hakipo huku anaona majizzo kama mwelekeo na maono yake ndo future. Halafu design kama vile ruge angekuwepo asingeondoka maana swali la Jonijo lilikuwa inasemekana kama Ruge angelikuwa hai usingeondoka Clouds.Kennedy the remedy naye simsikii kabisa kulikoni
Aise kumbe shukrani kwa kunijuza mkuu Naimani Mungu atampa wepesi!!Wanadai eti anaumwa, nimeambiwa na mtu hapa ambaye anasikilizaga XXL kila siku... Mimi ubusy umenifanya nisiwe nasikiliza redio sana. Pia B12 akiwaonge na Jonijo kwenye kipindi cha gerezani alisema kwamba Majizzo alimfuata toka EFM imeanzisha alikuwa akimsumbua akawa anazingua, ila later akaona kile kinachomfurahisha kwenye music industry kama huku hakipo huku anaona majizzo kama mwelekeo na maono yake ndo future. Halafu design kama vile ruge angekuwepo asingeondoka maana swali la Jonijo lilikuwa inasemekana kama Ruge angelikuwa hai usingeondoka Clouds.
[emoji16] [emoji16] [emoji16] aiseeMzee wa gahawa atakuambia mamy aliandaliwa muda mrefu ndiyo maana ilikuwa karibu sana na Kennedy kuliko mtangazaji yeyote pale mawingu.
Mzee wa gahawa atakuambia mamy aliandaliwa muda mrefu ndiyo maana ilikuwa karibu sana na Kennedy kuliko mtangazaji yeyote pale mawingu.
wanaweza kuwa karibu kutokana na kufanya kazi pamoja Ea radioMzee wa gahawa atakuambia mamy aliandaliwa muda mrefu ndiyo maana ilikuwa karibu sana na Kennedy kuliko mtangazaji yeyote pale mawingu.
Kwahiyo kisa ana vocal ndo atafit vizuri kumshinda kenedy?Huyo mgeni aliyepo
Ana vocal hatari..
Akijitahid swagger
Atafute kuliko Remedy
Sio kila anachoongea mtu basi inabidi kichukuliwe hivyo hivyoWanadai eti anaumwa, nimeambiwa na mtu hapa ambaye anasikilizaga XXL kila siku... Mimi ubusy umenifanya nisiwe nasikiliza redio sana. Pia B12 akiwaonge na Jonijo kwenye kipindi cha gerezani alisema kwamba Majizzo alimfuata toka EFM imeanzisha alikuwa akimsumbua akawa anazingua, ila later akaona kile kinachomfurahisha kwenye music industry kama huku hakipo huku anaona majizzo kama mwelekeo na maono yake ndo future. Halafu design kama vile ruge angekuwepo asingeondoka maana swali la Jonijo lilikuwa inasemekana kama Ruge angelikuwa hai usingeondoka Clouds.
Jamaa hayupo XXL imepoa kimtindoKennedy the remedy naye simsikii kabisa kulikoni
Kwahiyo kati ya mhusika na shabiki nani nimuamini?Sio kila anachoongea mtu basi inabidi kichukuliwe hivyo hivyo
Amini tu kwamba sio kila kinachotoka kwenye kinywa cha hawa masupastaa ni cha kukiaminiKwahiyo kati ya mhusika na shabiki nani nimuamini?
Basi sawaAmini tu kwamba sio kila kinachotoka kwenye kinywa cha hawa masupastaa ni cha kukiamini