Chanzo cha B. Dozen kuhama Clouds

Kennedy the remedy naye simsikii kabisa kulikoni
 
Kennedy the remedy naye simsikii kabisa kulikoni
Wanadai eti anaumwa, nimeambiwa na mtu hapa ambaye anasikilizaga XXL kila siku... Mimi ubusy umenifanya nisiwe nasikiliza redio sana. Pia B12 akiwaonge na Jonijo kwenye kipindi cha gerezani alisema kwamba Majizzo alimfuata toka EFM imeanzisha alikuwa akimsumbua akawa anazingua, ila later akaona kile kinachomfurahisha kwenye music industry kama huku hakipo huku anaona majizzo kama mwelekeo na maono yake ndo future. Halafu design kama vile ruge angekuwepo asingeondoka maana swali la Jonijo lilikuwa inasemekana kama Ruge angelikuwa hai usingeondoka Clouds.
 
Aise kumbe shukrani kwa kunijuza mkuu Naimani Mungu atampa wepesi!!

Hilo la B12 kwenda Efm mi naona kama Jamaa kazingua kinoma maana huko kama hakumfit vizuri, angeendelea kubaki tu mawingu a_maintain brand na status yake huko Efm nadhani atapoteana kabisa.
 
Huyo mgeni aliyepo
Ana vocal hatari..
Akijitahid swagger
Atafute kuliko Remedy
Mzee wa gahawa atakuambia mamy aliandaliwa muda mrefu ndiyo maana ilikuwa karibu sana na Kennedy kuliko mtangazaji yeyote pale mawingu.
 
Mzee wa gahawa atakuambia mamy aliandaliwa muda mrefu ndiyo maana ilikuwa karibu sana na Kennedy kuliko mtangazaji yeyote pale mawingu.
wanaweza kuwa karibu kutokana na kufanya kazi pamoja Ea radio
 
Huyo mgeni aliyepo
Ana vocal hatari..
Akijitahid swagger
Atafute kuliko Remedy
Kwahiyo kisa ana vocal ndo atafit vizuri kumshinda kenedy?

Utangazaji una vitu vingi,John Jackson bado sio mzuri sana akiwa live on air(freestyling)Jamaa ni mzuri kwenye recording

Kwahiyo bado The Remedy ana attribute nyingi zaidi kumshimda
 
Sio kila anachoongea mtu basi inabidi kichukuliwe hivyo hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…