Chanzo cha mali ya hekima: Majina ya Barahatiyah na faida zake

Chanzo cha mali ya hekima: Majina ya Barahatiyah na faida zake

Mwalimu naomba kuuliza.hayo ni majina umesema ya mungu kwa lugha ya kiajemi. Yana tofaut na haya ya kiarabu?
Yes, mfano hilo la kwanza ni Al qudus kiarabu ambayo ni mtakatifu kiswahili
 
Japo kwa kuchelewa lakini nimenufaika sana. Hakika ni elimu kwa wenye hekima
 
Asantee
Ila elfu kumi kila wiki kwa maisha haya ya vijana sisi wapambanaji tunaojitafuta sio rafiki.
Tuunge kwanza tupate elimu kisha tulipie baada ya kupata matokeo
 
We bwana upo kibiasharaaaa, umesema ukitaja unafungua baraka kwani we hujafungua?
 
Back
Top Bottom