system hacker
JF-Expert Member
- Mar 13, 2022
- 426
- 709
Tatizo ni Bunge kutunga sheria mbovu za kodi.
Lkn lenyewe limekaa kimya kama halihusiki. Na wadau nao wamekaa kimya hata hawajadili.
Pale Naibu Speaker alipaswa kupopolewa mno lkn aaahhh wapi
Shida sio tuu Bunge Bali muundo na majukumu sio tuu ya TRA Bali taasisi zingine..Tatizo ni Bunge kutunga sheria mbovu za kodi.
Lkn lenyewe limekaa kimya kama halihusiki. Na wadau nao wamekaa kimya hata hawajadili.
Pale Naibu Speaker alipaswa kupopolewa mno lkn aaahhh wapi
Tatizo ni CCM. Trust me. Bila CCM kuondoka hakuna mabadiliko.Tatizo ni Bunge kutunga sheria mbovu za kodi.
Lkn lenyewe limekaa kimya kama halihusiki. Na wadau nao wamekaa kimya hata hawajadili.
Pale Naibu Speaker alipaswa kupopolewa mno lkn aaahhh wapi
Naunga mkono hojaNani amekuambia bunge linatunga sheria? Kwa katiba hii bunge ni rubber stamp tu . Tena bunge lenyewe hili ambalo zaidi ya nusu ya wabunge wanaopatikana kwa wizi wa kura?!
Aisee...Nani amekuambia bunge linatunga sheria? Kwa katiba hii bunge ni rubber stamp tu . Tena bunge lenyewe hili ambalo zaidi ya nusu ya wabunge wanaopatikana kwa wizi wa kura?!
Tatizo la Tanzania watu wanapenda kudeal na matawi au maua ya matatizo.Tatizo ni Bunge kutunga sheria mbovu za kodi.
Lkn lenyewe limekaa kimya kama halihusiki. Na wadau nao wamekaa kimya hata hawajadili.
Pale Naibu Speaker alipaswa kupopolewa mno lkn aaahhh wapi
Nchi hii hakuna bunge , sisi tutaendelea kupambana na hawa hawaTatizo ni Bunge kutunga sheria mbovu za kodi.
Lkn lenyewe limekaa kimya kama halihusiki. Na wadau nao wamekaa kimya hata hawajadili.
Pale Naibu Speaker alipaswa kupopolewa mno lkn aaahhh wapi
Kazi ya bunge ni kutunga sheria, ila sheria huenda bungeni kama mswada ukiwa umeandikwa kwaajili ya kujadiliwa sio kupingwa.Tatizo ni Bunge kutunga sheria mbovu za kodi.
Lkn lenyewe limekaa kimya kama halihusiki. Na wadau nao wamekaa kimya hata hawajadili.
Pale Naibu Speaker alipaswa kupopolewa mno lkn aaahhh wapi
Wamegomea kikosikazi na kodi ya stood na rising za kufutika na seizure ya bidhaa. Hizo halikutinga Bunge. Rais alisema kodi za nyuma ziachwe wakasema let barua, si Bunge.Tatizo ni Bunge kutunga sheria mbovu za kodi.
Lkn lenyewe limekaa kimya kama halihusiki. Na wadau nao wamekaa kimya hata hawajadili.
Pale Naibu Speaker alipaswa kupopolewa mno lkn aaahhh wapi