mwanausangi
JF-Expert Member
- Nov 4, 2021
- 548
- 608
Jombaa unaingilia mpaka anga za Mungu Sasa.Wakuu habari za mchana!
Naamini huku katika jukwaa letu pendwa kuna watu wenye uweledi na ufahamu mkubwa, naomba mnijibu swali langu hili
"Nini kinasababisha mtoto kuzaliwa na upofu?je kuna vitu fulani alivikosa wakati akiwa tumboni?au mama alitumia vitu/dawa/vyakula/vinywaji ambavyo havitakiwi au ni suala la kurithi?
asanteni
No, inawezekana kuna ishu za kiafya labda ndo ninachomaanishaJombaa unaingilia mpaka anga za Mungu Sasa.
Mungu hafanyi mambo kama hayo, hizo distortions mara nyingi ni kwasababu ya mambo ya magonjwa au urithi unaotokana na dhambi.Jombaa unaingilia mpaka anga za Mungu Sasa.
Gonorrhoea kutoka kwa Mzazi ,mtoto akizaliwa anatakiwa achomwe tetracycline kwa ajili yakuepusha Na hyoWakuu habari za mchana!
Naamini huku katika jukwaa letu pendwa kuna watu wenye uweledi na ufahamu mkubwa, naomba mnijibu swali langu hili.
"Nini kinasababisha mtoto kuzaliwa na upofu? Je, kuna vitu fulani alivikosa wakati akiwa tumboni? Au mama alitumia vitu/dawa/vyakula/vinywaji ambavyo havitakiwi au ni suala la kurithi?
Asanteni.