prof. mmoja wa uingereza alikuwa akimfundisha mwanae somo la geography sasa ilipofika wakati anamwelekeza pande kuu nne za dunia mwanae alikuwa kilaza anashindwa kukumbuka, kwa hiyo akaanza kumkaririsha kwa nguvu na kumwambia aandike kwa kifupi neno litalomkumbusha, ndio akaandika neno NEWS
N----NORTH
E-----EAST
W----WEST
S-----SOUTH
Je kwanini linaendelea kutumika duniani ? nasi tumeshindwa kukumbuka pande za dunia?
N----NORTH
E-----EAST
W----WEST
S-----SOUTH
Je kwanini linaendelea kutumika duniani ? nasi tumeshindwa kukumbuka pande za dunia?