Frank P B Mapanga Member Joined Jun 20, 2014 Posts 13 Reaction score 2 Feb 3, 2018 #1 Unamtandika mtoto konzi ya maana, anaanza kulia kwa sauti unanunua biskuti unampatia, alaf unamuuliza, ni nani amekupiga, anamtaja mtu mwingine tofauti na wewe...hivyo ndo rushwa ilianza Africa Tubadilike jamanii
Unamtandika mtoto konzi ya maana, anaanza kulia kwa sauti unanunua biskuti unampatia, alaf unamuuliza, ni nani amekupiga, anamtaja mtu mwingine tofauti na wewe...hivyo ndo rushwa ilianza Africa Tubadilike jamanii
Nyendeke JF-Expert Member Joined Jul 21, 2013 Posts 1,552 Reaction score 2,849 Feb 3, 2018 #3 Hili nalo ni Somo Jipya la rushwa ati..,
MLA PANYA SWANGA JF-Expert Member Joined Jul 31, 2015 Posts 5,184 Reaction score 5,435 Feb 3, 2018 #4 Mugabe voice not yours.
Billie JF-Expert Member Joined Aug 13, 2011 Posts 13,588 Reaction score 22,752 Feb 3, 2018 #5 Chanzo cha rushwa ni mshahara na stahiki za wafanyakazi kutolipwa zote au kwa wakati hivyo tynalaximika kuiba
Chanzo cha rushwa ni mshahara na stahiki za wafanyakazi kutolipwa zote au kwa wakati hivyo tynalaximika kuiba