Influencer mwenye wafuasi buku akiongea ujinga basi unasambaa na kukubalika na kuungwa mkono na mamia ya wanawake ambao nao wanaambukiza watoto wao wa kiume, sasa wanaume 5 wenye akili wakitaka kurekebisha hilo kosa, ni mlima kabisa kubadili maana.Wanaume tushafeli pakubwa sana, kibaya zaidi sisi kwa sisi hatupeani nafasi ila wanawake wana ajenda ya kutakeover nafasi ya mwanaume katika jamii kwa kumiliki uchumi sisi wanaume tuna cheka cheka na kuwaita Malikia wa nguvu.
Umeongea pointi sanaInfluencer mwenye wafuasi buku akiongea ujinga basi unasambaa na kukubalika na kuungwa mkono na mamia ya wanawake ambao nao wanaambukiza watoto wao wa kiume, sasa wanaume 5 wenye akili wakitaka kurekebisha hilo kosa, ni mlima kabisa kubadili maana.
Watu kama kina Chris Mauki wamechangia sana kudidimiza juhudi za kurejesha misingi ya familia.
Walizaa na wewe au mwrngineKuna single maza wale wàliozalia nyumbani na kuna single maza waliolewa wakaachikà kwa sababu mbalimbali.
Sioni tàtizo la single maza hapo.
Huruma sio maleziHuruma ndo chanzo
Chanzo cha shidoHuruma sio malezi
Imekuwa ni kiama kama CCM walivyoleta kunguru weusi kama project mbovu ambapi wamezaliana na sasa wanakula vifaranga na kupora mboga badala ya kusaidia uchafuKifupi huo ni mkakati na wanaume wakajitoa kwa hali na mali hata kwa jasho na damu kuhakikisha mkakati huo unatekelezwa na kusimama bila kujua wanajiua bila manufaa yoyote na sio wanaume wasasa pekee wanaua mpaka vizazi vya watoto wao waliopo na wanaokuja. Hasara kubwa na bahati mbaya sana.
Umepiga jiwe gizani, Tena umerusha FATUMA,Zamani mwanamke aliyeachika au kutalikiana na mmewe alikuwa hatakiwi kabisa kupewa nafasi yoyote ya uongozi katika jamii.
Jamii ilifanya hivyo ili kupeleka meseji kwa wengine kuepuka kuishi maisha ya kisingle maza pasipo sababu ya msingi.
Wanaume ambao hawakutimiza majukumu yao ya kulisha familia jamii ilifanya mkutano na ilikuwa ikibainika mwanaume hawajibiki katika familia alikumbushwa kwa kulambwa bakola hadharani.
Yote hayo ilikuwa kupeleka meseji kwa watu ili wazingatie misingi.
TABIA ZETU WENYEWE wanaume za kutafta sifa kwa wanawake zimewainua wanawake!
KIUFUPI Matatizo mengi sana tumezalisha Wanaume wenyewe kwa kundekeza huruma na sifa kwa wanawake!
- WANAWAKE Walioachika tumewatukuza katika jamii kwa majina makuu ya WANAWAKE WA SHOKA (MALKIA WA NGUVU) hii ilipeleka meseji kwa wake za watu kuanza kutoka majumbani?
- TUMEWATEUA KUWA viongozi ngazi za juu VIMADA WALIOACHIKA; ..Hili lilipeleka meseji katika jamij kuwa walioachika wanatukuzwa zaidi kuliko walioko ndoani
- Wanaume Tumekuwa na HURUMA kwa kila mwanamke, Yaani hatujiulizi marambilimbili kubeba mwanamke aliyeachika tena wengine ndiyo tunawadhauri waachike.
- Mawazo ya biashara kubwa tunapa wanawake wao wanakutana huko kwenye vikoba kujadili kama ajenda lakini nyuma ya mawazo yao kuna wanaume wameyatoa. (Wana copy na kupaste) tunajikuta tunaongeza maadui kutokana na mawazo yetu wenyewe.
- Hatuhoji wanawake wakitembea vikundi au wakikusanyika, Lakini vikundi vya kiume tunaitwa walevi, vibaka, wahalifu kwa kosa la kukaa wanaume kikundi lakini wanawake kukaa kikundi kwao ruksa.
- Ni sisi wenyewe Wanaume Tumeruhusu ajira ziwe nusu kwa nusu, tumesahau wajibu wa kuoa unabebwa na mwanaume! Vijana wasipokuwa na ajira hawatakuwa na sauti
- Mmewaingiza bungeni wanawake kwa mlango wa viti maalum tukaacha wa kiume...na kama ni lazima basi tungewrka viti maalum viwe kwa wanafunzi wanaofauli zaidi vyuoni au wenye vipaji vya ubunifu ili iwe kama motisha kwa watu kubuni mambo ya maendeleo n.k mfano! Aliyebuni JF alitakiwa ndo aingie bungenj kwa viti maalum, na wabunifu wowote wanaonekana katika project.
Adam Alifukuzwa Edeni kwa kumsikiliza mwanamke!
Na sisi leo tunarudia kosa lile lile alilofanya Adam! Tutakuja zinduka badae sana tukishapigwa parefu
Siyo kidogo
Jamii inaenda kupotea ndoa inakwrnda kuwa changamoto watu watakuwa hawaoani ni mwendo wa kuzaa na kusepaUmepiga jiwe gizani, Tena umerusha FATUMA,
Hii ni nondo Kali sana Kwa Leo.
Watu na media siku hizi zinaropoka hovyoInfluencer mwenye wafuasi buku akiongea ujinga basi unasambaa na kukubalika na kuungwa mkono na mamia ya wanawake ambao nao wanaambukiza watoto wao wa kiume, sasa wanaume 5 wenye akili wakitaka kurekebisha hilo kosa, ni mlima kabisa kubadili maana.
Watu kama kina Chris Mauki wamechangia sana kudidimiza juhudi za kurejesha misingi ya familia.
Nimekuelewa sana mtoa mada nazani tuunde umoja wa wanaume bado hatujachelewa ingawa masnichi watatuuza tena kisa uchiZamani mwanamke aliyeachika au kutalikiana na mmewe alikuwa hatakiwi kabisa kupewa nafasi yoyote ya uongozi katika jamii.
Jamii ilifanya hivyo ili kupeleka meseji kwa wengine kuepuka kuishi maisha ya kisingle maza pasipo sababu ya msingi.
Wanaume ambao hawakutimiza majukumu yao ya kulisha familia jamii ilifanya mkutano na ilikuwa ikibainika mwanaume hawajibiki katika familia alikumbushwa kwa kulambwa bakola hadharani.
Yote hayo ilikuwa kupeleka meseji kwa watu ili wazingatie misingi.
TABIA ZETU WENYEWE wanaume za kutafta sifa kwa wanawake zimewainua wanawake!
KIUFUPI Matatizo mengi sana tumezalisha Wanaume wenyewe kwa kundekeza huruma na sifa kwa wanawake!
- WANAWAKE Walioachika tumewatukuza katika jamii kwa majina makuu ya WANAWAKE WA SHOKA (MALKIA WA NGUVU) hii ilipeleka meseji kwa wake za watu kuanza kutoka majumbani?
- TUMEWATEUA KUWA viongozi ngazi za juu VIMADA WALIOACHIKA; ..Hili lilipeleka meseji katika jamij kuwa walioachika wanatukuzwa zaidi kuliko walioko ndoani
- Wanaume Tumekuwa na HURUMA kwa kila mwanamke, Yaani hatujiulizi marambilimbili kubeba mwanamke aliyeachika tena wengine ndiyo tunawadhauri waachike.
- Mawazo ya biashara kubwa tunapa wanawake wao wanakutana huko kwenye vikoba kujadili kama ajenda lakini nyuma ya mawazo yao kuna wanaume wameyatoa. (Wana copy na kupaste) tunajikuta tunaongeza maadui kutokana na mawazo yetu wenyewe.
- Hatuhoji wanawake wakitembea vikundi au wakikusanyika, Lakini vikundi vya kiume tunaitwa walevi, vibaka, wahalifu kwa kosa la kukaa wanaume kikundi lakini wanawake kukaa kikundi kwao ruksa.
- Ni sisi wenyewe Wanaume Tumeruhusu ajira ziwe nusu kwa nusu, tumesahau wajibu wa kuoa unabebwa na mwanaume! Vijana wasipokuwa na ajira hawatakuwa na sauti
- Mmewaingiza bungeni wanawake kwa mlango wa viti maalum tukaacha wa kiume...na kama ni lazima basi tungewrka viti maalum viwe kwa wanafunzi wanaofauli zaidi vyuoni au wenye vipaji vya ubunifu ili iwe kama motisha kwa watu kubuni mambo ya maendeleo n.k mfano! Aliyebuni JF alitakiwa ndo aingie bungenj kwa viti maalum, na wabunifu wowote wanaonekana katika project.
Adam Alifukuzwa Edeni kwa kumsikiliza mwanamke!
Na sisi leo tunarudia kosa lile lile alilofanya Adam! Tutakuja zinduka badae sana tukishapigwa parefu
Jamaa kapiga kwenye mshono gizaniKweli 100%
Ni upuuzi sana huwa namind sanaWanaume tushafeli pakubwa sana, kibaya zaidi sisi kwa sisi hatupeani nafasi ila wanawake wana ajenda ya kutakeover nafasi ya mwanaume katika jamii kwa kumiliki uchumi sisi wanaume tuna cheka cheka na kuwaita Malikia wa nguvu.
Hii ni point nzito sana mzee.Wanaume tunamalizana wenyewe kwasababu wanawake wako katika uwanja wa vita kupambana na sisi lakini anaewachochea nyuma yao ni wanaume katika mlango wa ushauri (kijana wangu, boda wangu n.k)
Sahivi kila limama linalojinasibu pambananji nyuma yake yupo mwanaume katika kivuli cha rafiki mshauri/ danga
Wanawake ndio wanaoingia kwenye maisha ya wanaume. Na wakiingia wanataka kutakeover.Hichi kikao chenu sikielewi Sasa kama hamuelewi wanawake basi kaen mbal na mwanamke ( single) Hilo ndilo solution ya Kila lalamiko lenu
Masnitch a.k.a Masimp ndio takataka zinazoturudisha nyuma.Nimekuelewa sana mtoa mada nazani tuunde umoja wa wanaume bado hatujachelewa ingawa masnichi watatuuza tena kisa uchi
Kabisa mzee sio uongo wanabeba ajenda za kike kike halafu wanajiita wanaume kumbe wanarudisha nyuma jihadi na kubaka injili.Influencer mwenye wafuasi buku akiongea ujinga basi unasambaa na kukubalika na kuungwa mkono na mamia ya wanawake ambao nao wanaambukiza watoto wao wa kiume, sasa wanaume 5 wenye akili wakitaka kurekebisha hilo kosa, ni mlima kabisa kubadili maana.
Watu kama kina Chris Mauki wamechangia sana kudidimiza juhudi za kurejesha misingi ya familia.
Kuna siku nilikuwa natazama kipindi pale Star TV. Wadada ndio walikuwa mahost. Asiee pumba walizokuwa wanamwaga sio za taifa hili.Watu na media siku hizi zinaropoka hovyo