Chanzo cha upepo

Kabla hii mada haijaenda mbali nami nijuzwe
tofauti kati ya upepo na hewa
Hewa(air) ni mchanganyiko wa gas mbali mbali na zenye tabia tofauti. Hata vumbi pia lipo humo kwenye hewa hivyo nayo ni sehemu ya hewa. . .

Upepo ni hewa. Ila hewa hii ina kua kwenye mwendo(inajongea)

Chuku mfano wa maji yakijikusanya sehemu moja mengi. Utaita bwawa/ ziwa/ au bahari. Alafu kuna mto pia ambao wenyewe ni maji yanayo jongea(tembea) kutoka seheme moja kwenda nyingine.

Hivyo kwa mfano wa kengo la kuelewa ila sio sahihi sana una weza kusema upepo kwa hewa ni kama mto ulivyo kwa maji.
 
Mabadiliko ya temperature yakichangiwa na heat katika maeneo tofatuti upelekea low na high pressure hivyo air kuanza kuelekea kwenye low pressure.
 
Kuna MTU anafunguaga vioo vya dunia ikiwa kwenye mwendo. Refer upepo wa kwenye gari
 
Sababu ya upepo/ hewa kujongea ni dunia kujaribu "kubalance" mfumo wake wa mgawanyo wa hewa angani( kwenye atmosphere)

Mfano eneo A hali yake ya joto imeongezeka, hivyo hewa imetanuka(expand) eneo B hali yake ya joto ipo chini.(baridi) na hewa imesinyaa.

Matokeo yake ni kwamba mgandamizo wa hewa eneo B utakuwa mkubwa zaidi ya ule wa eneo A. Sasa anga linajibalance lenyewe kwa hewa kutoka B kwenda A ili kupunguza mgandamizano ulioko B na kupandisha mdandamizano uliopo A.hewa hii inapotembea(jongea) kuhama ndio inaitwa upepo.
 
Dah huyo mwl. wako alikuwa hatari sana, safi.
 
Safi.
 
Kwa maelezo hayo inaonyesha ukitaka kujua chanzo cha upepo pia utataka kujua chanzo cha Hewa.
 
Dah huyo mwl. wako alikuwa hatari sana, safi.
Ni mwalimu mzuri sana. Alinifanya nikapenda Jiografia mpaka nikapata A form 4 na 6. Aliweza kuifanya iwe relevant na mazingira yetu na tulikuwa tunatoka nje kwenda ku-examine natural processes laivu. Ndiyo maana amegeuka na kuwa rafiki/mentor/mshauri mkubwa sana.
 
Me naomba kuongeza swali..kwa nn bahari ni ya blue na au anga ni blue.
 
Sea breeze and land breeze... kwa kimombo.
 
Habarini wana jamvi,

Nimekuwa nikifikiria hili jambo kwa muda lakini nimekosa jibu la kunifanya niamini nnachosikia, nikaona sio mbaya ku share nanyi jamvini huenda kuna mtu ana uelewa wa haya mambo.

Hivi chanzo cha upepo ni nini?!
Mungu wetu wa dsm anaona nyotanyota tu hapa. Ukiona mtu amejibu upepo ni ushuzi muwe na mashaka nae
 
Upepo ni hewa ya kawaida inayokimbia(escaping) kutoka eneo lenye high pressure kuelekea eneo lenye low pressure ili kucreate balance!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…