NAKEMBETWA
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 3,517
- 3,135
sina ila hizo ni porojo tu...eti walitaka kujenga mnara ili wamfikie aliko mungu, sasa walishakaribia kumfikia ama? Vipi urefu wa huo mnara ulifikia urefu wa majengo ya sasa kama Bhuji Khalifa?
sasa kama huna umejuaje kuwa hizo ni porojo? leta fact zako utudhibitishie hapa siyo unapayuka tu.