Chanzo cha uvunjifu wa maadili - Sehemu ya kwanza

Chanzo cha uvunjifu wa maadili - Sehemu ya kwanza

Bwana Bima

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2014
Posts
429
Reaction score
929
Leo Ponografia inazidi kubadilika. Profesa Gail Dines anaandika hivi: “Leo, picha zinazidi kuwa mbaya hivi kwamba ponografia iliyoonwa kuwa chafu sana imekuwa ya kawaida.”

Wewe una maoni gani? Je, ni sawa kutazama ponografia, ni hatari, au huna msimamo wowote? Ni nini matokeo ya kutazama ponografia?

1) Ponografia hufanya mtu kua na mazoea sugu ya kuitazama, na watafiti fulani huilinganisha na kutumia kokeini kali na wengi hua ni wasiri na wadanganyifu kwa sababu huitazama kwa siri

2) Kusababisha ubinafsi, mtengano wa kihisia, na kutoridhika na mwenzi wa ndoa.Mfano imagine umeangalia yanayofanyika humo halafu mwezi wako hawez kuyafanya tayari hapo inajenga tabia ya ubinafsi,kutoridhika
3) Kuchochea mawazo na hamu ya ngono haramu

3) Kumshawishi mtazamaji amlazimishe mwenzi wake kufanya ngono kwa njia isiyo ya kawaida mfano ngono za kinyume na maumbile

4) Inaweza kuwashawishi vijana waanze kufanya ngono wakiwa na umri mdogo na pia kuwa na maadili mapotovu, kuwa wajeuri kingono, na kuvurugika kihisia na kisaikolojia.
 
Porno Kwa sisi wengine zinatusaidia kujifunza new tactics in the battlefield ya uchakataji kimasihara

Ova
 
Porno Kwa sisi wengine zinatusaidia kujifunza new tactics in the battlefield ya uchakataji kimasihara

Ova
Lakini asilimia kubwa ya wanaoziwez na kuzimudu hizo tactics utakuta ni madada poa. Imagine sasa unataka kuoa mke mzuri aliyetulia mwenye maadili then uanze kumfosi akufanyie vile unavyoona kwenye porno. Mzee hapo ushaharibu ndoa. Asipokufanyia utarudi kwa vimada wako
 
Malezi mabovu wala msisingizie porn.
 
Malezi mabovu wala msisingizie porn.
Kivipi haswa. Fikiria unamlea mtoto vizuri then baba kwenye flash, computer au simu yake ina porno za kutosha. Watoto hua ni wadadisi sana.

Akiona kidogo tu atatka kufuatilia hapo ushamharibu. Kingine utamlea mtoto vizuri tu ataenda boarding school huko ndo balaa
 
Binafsi nna kit za kutosha za porno, kwenye desktop na simu

Nazitumia kupigia nyeto iwapo nipo safarini(simu) au nikiwa home(desktop)
 
Kivipi haswa. Fikiria unamlea mtoto vizuri then baba kwenye flash, computer au simu yake ina porno za kutosha. Watoto hua ni wadadisi sana. Akiona kidogo tu atatka kufuatilia hapo ushamharibu. Kingine utamlea mtoto vizuri tu ataenda boarding school huko ndo balaa
Wewe baba unaachaje files za porn wazi wazi? Hujui kuweka password?
Iweje umpe mtoto computer uliyoweka porn huoni kwamba tatizo ni wewe?

Ukiwa na malezi mazuri kwa mtoto wako hata kama kupindi cha ujana anaweza akaharibikiwa kidogo lakini baadae anakuja kukaa kwenye mstari.
watu wameangalia porn enzi za ujana lakini sasa hivi wapo vizuri.

Mfano mtu anaachia watoto waangalie TV bila kujali nini wanangalia, mzazi anajionea sawa tu kumbe maudhui mengine yanaendana na umri.

Turudi kwenye malezi sahihi na sio kusingizia vitu mambo mengine.
 
Wewe baba unaachaje files za porn wazi wazi? Hujui kuweka password?
Iweje umpe mtoto computer uliyoweka porn huoni kwamba tatizo ni wewe?

Ukiwa na malezi mazuri kwa mtoto wako hata kama kupindi cha ujana anaweza akaharibikiwa kidogo lakini baadae anakuja kukaa kwenye mstari.
watu wameangalia porn enzi za ujana lakini sasa hivi wapo vizuri.

Mfano mtu anaachia watoto waangalie TV bila kujali nini wanangalia, mzazi anajionea sawa tu kumbe maudhui mengine yanaendana na umri.

Turudi kwenye malezi sahihi na sio kusingizia vitu mambo mengine.
Ok malezi unayozungumzia haswa ni yepi io moja na pili unafikri kabisa mtu mwenye mazoea ya kuangalia porn kimaadili anakua yuko vizuri kabisa?
 
Ok malezi unayozungumzia haswa ni yepi io moja na pili unafikri kabisa mtu mwenye mazoea ya kuangalia porn kimaadili anakua yuko vizuri kabisa?
Kuna yoyote unayemfahamu anaangalia porn akakosa maadili?
Ni wengi sana wanaangalia porn na huwezi kuwatambua kwa kuwatazama, na wapo kawaida tu.

Malezi ninayozungumzia ni kuanzia mtoto mdogo hadi kijana.
Yoyote mwenye msingi mzuri wa malezi anakuwa na maadili hapo baadae.
Kuangalia porn ni weakness tu za kibinadamu sidhani kama inapelekea mtu kutukana watu hovyo hovyo au mambo mengine ya aibu.

Labda itamfanya atamani kufanya yale anayoyatazama lakini anafanya sirini na mbele za watu yupo vzr na maadili yake.

Labda unieleweshe ni ukosefu upi wa maadili unasababishwa na porn. Madhara ya porn yapo lakini lakini sidhani kama inasababisha ukosefu wa maadili kihivyo yaani kila anayeangalia porn huko anapoishi ni mfano mbaya kwenye jamii.
 
Back
Top Bottom