Chanzo cha vifo vya usingizini

Hii sio kweli kuota umeshindwa na kufa moja kwa moja haviendani!!..
Mimi ni muoga wa kutembelea mbuga za wanyama so mara nyingi nimeota nakimbizwa na simba ama chui ama mnyama yeyote mkari then akanikamata, sasa kitendo cha kuning'ata labda kanitoa mkono ama mguu ndo naposhtuka na kuamka hua inakua asubuhi!!..
 
Hii siyo kweli maana ni wengi wameshaota hivi na haiwi kama navyosema....

Kuna nadharia nyingine inayosema ndoto ikifikia mwisho yaani ikiisha ndiyo unakuwa umekufa.Nadharia hii nayo ni ngumu kuithibitisha maana sijui kama ndoto inaisha maana sijui kwanza itaisha namna ipi....
 
Umejuaje kua ukimaliza ndoto lazima ufe?hili ni jambo kwa hakika utakua umejifikirisha tu,uliwahi kuota ndoto mpaka mwisho na ukafa then ukafufuka ndo umekuja kutuhadithia?

samahani,wewe utakua ni Director wa ACACIA nafikili.yaani kichwa kimechanganyikiwa
 
Mi naweza pale unapoota unamsukumizia dudu mwanamke halafu unakojoa kabisa si ndo umeshafika mwisho pale, sasa mbona Kama ndo hivo huko kwa shule za boys kila siku tungekuwa tunaokota maiti zaidi ya 10
 
Akikuua mkuu. Hapo uling'atwa mkono ndo ukastuka. Hapo ulikuwa mshindi ungeshindwa yaani angekuua kabisa usingeamka.
 
Mi naweza pale unapoota unamsukumizia dudu mwanamke halafu unakojoa kabisa si ndo umeshafika mwisho pale, sasa mbona Kama ndo hivo huko kwa shule za boys kila siku tungekuwa tunaokota maiti zaidi ya 10
Kawaulize Kama wamewahi kumalizia hizo ndoto, wengi wao huishia njiani ndo wanastuka. Ukimaliza hadi mwisho Rafiki! Yatakuwa mengine.
 
Du!!! Leo nimeota natembea kwa miguu na giza totoro barabara ya kinondoni nikakutana na masera eti yakanipa HI, ile nayapita tu yakaaanza kunifuata huku yameshika visu ile kuanza kupambana nayo tu!! Da!! Ndo nikastuka usingizini!!! Dadeki!!!! Inamaana yangenidunga kisu ndotoni ndo ingekuwa Kushnei!!!!! [emoji15][emoji15]
Mungu Mkubwa!!!
 
Wenzetu wanawaza kwenda sayari ya Mars sisi Mawazo yetu ni Kugundua Vifo vya Ndoto...
Sisi tunawaza kugundua vifo vya ndotoni wao Wanawaza kwenda Mars
Hapo tayari ni michezo tofauti na yote ni ya kiinteligencia na hatuonani wapuuzi kwa kutaka kugundua
 
Sasa kama walioota mpaka mwisho na hao walioshindwa ndotoni walikufa huo mrejesho alieleta nani?
 
Mbona Mimi Mara nyingi tu Nimeshindwa ktk ndoto?, na ndoto nyingi 2 nimezifikisha mwisho na Niko hai hadi Leo??
 
Mwanadamu ni mkusanyiko wa mwili zaidi ya mmoja. Utu(personality) imeundwa na miili 3 yaani kwa lugha ya wenzetu ni physical body, astral body lower mental body.
Tunapokua usingizini ufahamu una hama kutoka kwenye ulimwengu huu tuliouzoea(physical plane/universe) na kuingia kwenye ulimwengu mwengine ambao ni astral plane.
Kwann watu wanakufa wakiwa usingizini.? Kuna kitu kinaitwa astral ptijection au astral travel yani mwili unaweza kwenda sehemu yoyote bila kipingamizi chochote, unaweza ukarudi nyuma na kuangalia ulikuaje kabla hujazalia nk. Hiyo ndio faida ya astral travel. Kuna mazoezi ya kufanya astral projection, kuna kitu muhimu ambacho astral travel inapo take place hicho kitu kitakusaidia utakapo kuwa unataka kurudi kwenye mwili wako physical body au kwenye dunia ulioizoea. Hicho kitu kinaitwa SILVER CORD. Hiki ni muhimu sana kipindi unapofanya astral traveling. Binadamu kamwe hatupo sawa wote, kuna baadhi yetu huwa tunajikuta tupo kwenye astral travel au projection automatically tunapokua usingizini. So ikitokea upo kwenye astral travel au projection na kwa bahati mbaya ikatokea ile silver cord ikawa imekatika ndugu hutaweza kurudi duniani so utakua umepotea au kwa lugha nyepesi utakuwa umekufa.
 
Ulijuaje kama waliota wakamaliza ndotozao?
 
Huu ni uongo uliopindukia na upotoshaji wa Hali ya juu. Na hizo ndoto ambazo watu wameota wakatafusri na zikatokea hivyo hivyo utawezaje kusema hazijakamilika
 
Mkuu ulivyoanza kuandika na heading nikajua umejipanga utatujuza vizuri,nasoma mwishoni naona unakaribisha majadala?Hayo ni mambo magumu si mepesi,nilitegemea unalo jibu mimi naweza elezea vizuri nikimaliza kusoma kitabu fulani cha watu waliexperince being very close to death.
Lakini hiyo issue yako ya kutoikumaliza ndoto nigusie kidogo tu,mwanadamu ana conscious mind na subconscious mind,hizi haziwezi kudominate kwa muda mmoja.Ukiwa macho conscious mind inatawala,unapokuwa umelala unconscious mind inatawala.Ila elewa unconscious mind inahusika na mambo mengi amabayo kwa wenye imani tunasema ni ya rohoni,ukiwa umelala unaconscious mind inaweza ikakujulisha mambo yajayo kwa njia ya ndoto,au niseme unapoamka unajitahidi kukumbuka ulicho ota,trust me huwa tunaota ndoto nyingi.Mimi kuna mtu aliniambia hatuwezi kukumbuka ndoto zaidi ya tatu ulizoziota usiku mmoja,kama kuna mtu hukumbuka ndoto zaidi ya tatu awe mkweli ili tujielimishe.
Mtu halisi siyo mwili,mtu halisi ni ile nafsi iliyoko ndani ya mwili,ulishawahi jiuliza unapokuwa usingizini yule mtu "nafsi" iliyokuwa active mchana huwa inaenda wapi usiku kuipisha hiyo unconscious mind?Biblia inaita kufa ni kulala uzingizi mzito,kwa hiyo tunapolala usiku tunaonja asilimia ndogo ya kifo that is why unaweza usijue nini kimetokea usiku.
Ukijifunza kabla ya mtu kusinzia moja ya mambo yanayotokea kwenye mwili wa mwanadamu ni mwili kuslow down,kwa mfano mapigo ya moyo yanapungua speed,shughuri nyingi za mwili zinapungua mwishoni ukifikia level fulani tunasema usingizi unakuchukua unasinzia.
Niishie hapo kwa leo,kwa hiyo kama mtu atakufa usingizini sababu ni nyingi inawezekana kuna organ zimefail au kuna kitu tusichokijua(in spiritual real) kimesababisha,madaktari always kuna kitu wao wataona ingawa kinaweza kisiwe sahihi lakini kipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…