Chanzo halisi cha binadamu (Origins of mankind)

Chanzo halisi cha binadamu (Origins of mankind)

Kuna hii wanasema kwamba common ancestor alikua afrika kisha baadhi ya homo sapiens walipohama na kwenda mabara mengine wakaanza kuevolve ili kuadapt na mazingira ya kule. Sasa wale homo sapiens waliobaki huku afrika hawakuevolve au walievolve kdg sana kwasababu walikua fit na mazingira waliopo. Homo sapiens waliobak afrika wakaanza kusambaa tena duniani na ndipo wakakutana na wale homo wengine ambao walievolve kua Neanderthals etc... ndio wakaanza kujaamiana nao na mwisho wa siku wakapotezwa. Bado haiko clear nn kiliwaondoa lakin tunafkiri ni competition ya resources. Ndiomaana mpaka leo waafrika hatuna DNA za homo neanderthalensis ila wazungu wengi wanazo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii sidhani, kwasababu studies kibao zimepredict Neanderthals wameanza kuwepo miaka 700,000 iliyopita lakini Homo sapiens wameanza kuonekana Africa miaka 300,000 iliyopita....mfupa oldest wa Neanderthal uliopatikana umekuwa dated to be 430,000 years old. So inaonekana Neanderthals walianza kuondoka Africa kabla yetu sisi.
 
Homo neanderthalensis walikua na mafuvu makubwa kuliko homosapiens ivo inafikiriwa kua walikua na ubongo mkubwa zaidi. Ubongo mkubwa = akili nyingi...?

Sent using Jamii Forums mobile app
Not exactly.
Brain size/Body size ratio ikiwa kubwa ndio akili zinakuwa kubwa.
Kumbuka hakuna mnyama mwenye ubongo mkubwa kama Nyangumi ila haimaanishi nyangumi ni genius.
 
Hii sidhani, kwasababu studies kibao zimepredict Neanderthals wameanza kuwepo miaka 700,000 iliyopita lakini Homo sapiens wameanza kuonekana Africa miaka 300,000 iliyopita....mfupa oldest wa Neanderthal uliopatikana umekuwa dated to be 430,000 years old. So inaonekana Neanderthals walianza kuondoka Africa kabla yetu sisi.
...nakumbuka nilisoma kwenye source moja kitambo kidogo. Ni either ivo au homo sapiens na homo neanderthalensis walitokana kwa common ancestor. Some say kuna missing link hapo kati... source nyingine kama hii zinasema "...some European Homo heidelbergensis fossils were showing early Neanderthal-like features by about 300,000 years ago and it is likely that Neanderthals evolved in Europe from this species..."
Either way, utafiti wa mambo ya kale ni kitu interesting sana [emoji1477]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
...nakumbuka nilisoma kwenye source moja kitambo kidogo. Ni either ivo au homo sapiens na homo neanderthalensis walitokana kwa common ancestor. Some say kuna missing link hapo kati... source nyingine kama hii zinasema "...some European Homo heidelbergensis fossils were showing early Neanderthal-like features by about 300,000 years ago and it is likely that Neanderthals evolved in Europe from this species..."
Either way, utafiti wa mambo ya kale ni kitu interesting sana [emoji1477]

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah, very interesting and sad at the same time.
Hao ndugu zetu wote waliokufa it means hata sisi tupo njiani.
Mpaka unawish urudi back in time maybe 70, 000 years ago ukute dunia imejaa species za homo zaidi ya 7.
Kina Neanderthals kina Denisovans.....Sijui hata walikuwa wakikutana na homo sapiens wanareactije?
 
Yeah, very interesting and sad at the same time.
Hao ndugu zetu wote waliokufa it means hata sisi tupo njiani.
Mpaka unawish urudi back in time maybe 70, 000 years ago ukute dunia imejaa species za homo zaidi ya 7.
Kina Neanderthals kina Denisovans.....Sijui hata walikuwa wakikutana na homo sapiens wanareactije?
[emoji23]inasemekana attraction ya mwanaume kwa mwanamke kwa watu wa kale ilikua ni matiti. Kwasababu tulianza kutembea kwa miguu miwili ivo zile niaje za kike zikawa haziko exposed kwa matamanio...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23]inasemekana attraction ya mwanaume kwa mwanamke kwa watu wa kale ilikua ni matiti. Kwasababu tulianza kutembea kwa miguu miwili ivo zile niaje za kike zikawa haziko exposed kwa matamanio...

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂...hahah ila lazima kuna wale nyege mshindo lazima walifosi tu. Ndomaana watu walifuck mpaka na Neanderthals😂..
hivi hakuna homo wengine waliokuwa bipedal?
Walikuwa hawapigani vita wakikutana?
 
Kuna hii wanasema kwamba common ancestor alikua afrika kisha baadhi ya homo sapiens walipohama na kwenda mabara mengine wakaanza kuevolve ili kuadapt na mazingira ya kule. Sasa wale homo sapiens waliobaki huku afrika hawakuevolve au walievolve kdg sana kwasababu walikua fit na mazingira waliopo. Homo sapiens waliobak afrika wakaanza kusambaa tena duniani na ndipo wakakutana na wale homo wengine ambao walievolve kua Neanderthals etc... ndio wakaanza kujaamiana nao na mwisho wa siku wakapotezwa. Bado haiko clear nn kiliwaondoa lakin tunafkiri ni competition ya resources. Ndiomaana mpaka leo waafrika hatuna DNA za homo neanderthalensis ila wazungu wengi wanazo

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh, kuna space moja niliingia twitter nikakuta black americans kibao eti wanakataa wao hawakutokea africa kama watumwa, ila ni homo sapiens walienda America miaka kibao before slaverly (10, 000+ yrs) halafu wanasema hii narrative ya kuwa wao walikuja na meli juzi ni uongo wa mzungu kuwakandamiza. Wanasema waliokuja na meli ni wachache tu, ila waliokuwepo walikuwa wengi.
Wanajiita black indians
 
Duh, kuna space moja niliingia twitter nikakuta black americans kibao eti wanakataa wao hawakutokea africa kama watumwa, ila ni homo sapiens walienda America miaka kibao before slaverly (10, 000+ yrs) halafu wanasema hii narrative ya kuwa wao walikuja na meli juzi ni uongo wa mzungu kuwakandamiza. Wanasema waliokuja na meli ni wachache tu, ila waliokuwepo walikuwa wengi.
Wanajiita black indians
Wazungu sio watu asilia wa marekani. Watu wa asili wa marekani ni red Indians... watu flan hivi wanarangi ya brown (sio black). Wazungu walitokea ulaya wakawa nyang'anya ardhi hao red Indians. Waliwaua, waliwabaka etc....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh, kuna space moja niliingia twitter nikakuta black americans kibao eti wanakataa wao hawakutokea africa kama watumwa, ila ni homo sapiens walienda America miaka kibao before slaverly (10, 000+ yrs) halafu wanasema hii narrative ya kuwa wao walikuja na meli juzi ni uongo wa mzungu kuwakandamiza. Wanasema waliokuja na meli ni wachache tu, ila waliokuwepo walikuwa wengi.
Wanajiita black indians
Hakuna watu ignorance kuhusu asili yao kama Black America, soku hizi wanjiita Black Hebrew, Israelite,n.k

Sema inasemakana waafrica ndio watu wa kwanza kufika america sema hawakukaa, kabla ya Christopher Columbus
 
Hakuna watu ignorance kuhusu asili yao kama Black America, soku hizi wanjiita Black Hebrew, Israelite,n.k

Sema inasemakana waafrica ndio watu wa kwanza kufika america sema hawakukaa, kabla ya Christopher Columbus
Duh sidhani kama ni ignorance, nadhan ni ile kubaguliwa mda mrefu na hawataki kuhusishwa kabisa na shithole countries, wanaona kama ni aina ya ubaguzi.. kwahyo wako radhi wajiite hebrews au indians au ata Asians kuliko Africans....which is sad.

Kuna mjadala nlkuta wanabishana eti kati ya kuoa mzungu au black mwenzako kipi bora? Wengi wakachagua mzungu eti ili mwanao asipitie racism waliyopitia.
Wakaweka picha ya katoto keusi eti wakawa wansema ni kabaya
 
Duh sidhani kama ni ignorance, nadhan ni ile kubaguliwa mda mrefu na hawataki kuhusishwa kabisa na shithole countries, wanaona kama ni aina ya ubaguzi.. kwahyo wako radhi wajiite hebrews au indians au ata Asians kuliko Africans....which is sad.

Kuna mjadala nlkuta wanabishana eti kati ya kuoa mzungu au black mwenzako kipi bora? Wengi wakachagua mzungu eti ili mwanao asipitie racism waliyopitia.
Wakaweka picha ya katoto keusi eti wakawa wansema ni kabaya
Duh, black americans mda mwingine wanakuaga kama hawana akili
 
Shida ya wanasayansi wanaaimini Akili zao sio Mungu aliyemba Mungu anasema Akili yenu ni ya chini yake ni ya juu mwisho wao Ni kusema Mungu nizaindie tuwaamini hawana suluhisho kifo Mungu anayo
 
Hiyo chanzo halizi wewe ulijuaje !! Vyombo hivyo vya wasungu sio halizi kama ni halizi bona unatoka kupima hosptali mpaka nyingine!!usiamini vitu wewe hukwepo haina uhai
 
Safi sana mwandishi,
Lakini kuhusu homohabilis kutoka Africa sidhani kama Kama kuna ukweli, homo habilis ni first tool maker ndio maana alipewa nick name ya HANDY MAN.

Homo erectus ( upright man ) ndio alikua wa kwanza kustep out side of Africa. Ndio maana remains zote za nje ya Africa zinaanza kwa homo erectus kwenda mbele.

Neanderthal huyu ni hakuwai kuwepo Africa
 
Back
Top Bottom