Chanzo halisi cha binadamu (Origins of mankind)

Chanzo ni Adam(A.S) kama inavyosema Qur'an. Hakidanganyi hiki kitabu.
 
hebu nieleze kinagaubaga
Hiyo ni character tu fake iliyotungwa kwenye kitabu cha mwanzo ambacho Quran ailikuja kukopi baadae.
Lakini hapajawahi kuwa na mtu wa kwanza wa kuitwa adam na eva na wala hiyo bustani ya Eden haijawai kuwepo.
Binadamu wote duniani hatujatoka kwa mtu mmoja, hilo linaweza kuthibitika Kijenetiki au kiakiolojia
 
B
Big up
 
kwahiyo source ya hao viumbe wengine before evolution haijaanza ilikua ni ipi?
 
Kumbe watu wameanza kuzamia mtoni kitambo tu kutoka Africa
Kusepa bongo kumbe ni utamaduni tu wa toka kitambo apa nikuzamia ulaya tu haya mambo hayajaanza juzi kumbe
Tangu kitambo sana!
 
Hivi hamjui kwamba bara lilikuwa moja tu, Pangea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…