Chanzo halisi cha mbwa (Origin of dogs)

Ni kawaida ya binadamu wakitafuta majibu ya maswali magumu yalio mbele yao wakikosa hutengeneza story za kujibu matamanio yao so hongera kwa stor nzur boss.
 
Ni kawaida ya binadamu wakitafuta majibu ya maswali magumu yalio mbele yao wakikosa hutengeneza story za kujibu matamanio yao so hongera kwa stor nzur boss.
Hizi sio stories. Hizi ni gunduzi zilizobase kwenye ushahidi wa archeology, genetics,anatomy,molecular biology,biogeography,embryology nk.
Hakuna theory yenye evidence nyingi kutoka field mbalimbali za sayansi kama evolution.

Kwahyo unapoishia kusema ni story tu hautendei haki kazi ya maelfu ya wanasayansi na researchers waliofanya kazi kubwa field mpaka kufikia hii knowledge tuliyonayo hapa.

Lakini pia uzuri wa sayansi sio Sheria au dini kwamba unatakiwa uifuate bila maswali. Sayansi Inabadilika kuufuata ushahidi unapoelekea. Hivyo kama unapinga makala hii au una ushahidi wa facts mbadala wa hizi unaweza kushare pia hapa tuchambue.
Asante.
 
Dah mkuu unatema nondo kama profesa
 
Ooh basi muoneshe hata sasaivi.
Kuna dogo mmoja nishakutana naye swimmingpool moja morogoro
Dogo alikuwa darasa la tano lakini alikuwa ananiuliza maswali ambayo najua hata professa wa kibongo anaweza kushindwa kujibu.

Nikamuuliza anajuaje yote haya? Akaniambia nyumbani kwao kuna maktaba na ni utamaduni wao kusoma vitabu vingi
 
Ndio hizo GMO
 
Kulikua na wanyama wa hatari sana!
 
Noma
 
Sawa kaka hata binadamu alikuwa nyani wakati fulan kutokana na tafiti mbalimbali.
 
Sawa kaka hata binadamu alikuwa nyani wakati fulan kutokana na tafiti mbalimbali.
Binadamu hakuwa nyani,ila binadamu na nyani walitoka kwenye kiumbe mmoja
 
Huna hata kapicha cha Auroch tajiri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…