chanzo si wanaume.....ni akili yako mwenyewe mwanamke....
km umelelewa vyema..maadili mema na uwoga wa mungu ukawa nao na kijielimu kdg basi nadhan vtakusaidia katika kuthk na kureason kila jambo unalotaka fanya.....
yaan ujiharibu kisa mwanaume?
MBONA AKIKWAMBIA BIBIE KALALE CHOON LEO AUEND Y?KWANINI AKIKWAMBIA MI NAPENDA UWE MWEUPE BASI FASTA MKOROGO UKO WAP....NI WEWE UNA MSIMAMO GAN NA UNATAKA NINI ..MSIWASINGIZIE WANAUME....ukiwa na msimamo na mwili wako akikwambia masuala ya kwa mchina sjui kaongeze **** kajichubue utamjibu tu baba samahani mi sina lakin kuna wadau wanayoso pls the dooor is open u just go....ntampata atakayenipenda na matakao yangu ya bat na hips zangu za mjomba.....ahh jaman sjui twaenda wap....akil za kike zazid didimia kicosmetics:scared: