Huu uzi ni maalum kwa ajili ya kufanya uchaguzi wa chama hiki kikongwe hapa nchini. Lengo la kufanya hivi ni baada ya kuona mpasuko wa kichama baada ya kuwa na watu wawili wanaojitangaza kuwa wao ni wenyeviti wa chaputa ngazi ya taifa. Watu hao ni moto wa waji na mwingine sijui ni nani(nimemsahau). Hali hii itahatarisha sana mustakabali wa chama hiki.
Sasa, uzi huu utumike kufanya chaguzi za viongozi wa ngazi ya juu kabisa watakaokuwa watetezi wa maslahi ya chama hiki.
Nafasi zitakazo husika
Mwenyekiti
Makamu mwenyekiti
Katibu mkuu
Katibu saidizi
Mhazini.
Na nguvu aliyopewa mwenyejiti na katiba ya CHAPUTA atateua viongozi wafuatao
Afisa mahusiano wa chaputa
Msajili mkuu wa chaputa
Kamati ya maadili ya chaputa
Wawakilishi wa chaputa wa kila mkoa.
Ni nafasi ya kila mwanachama wa vhaputa kugombea na kujinadi ni kwa namna gani atakiongoza chama hiki kikongwe kabisa.
Karibuni
Sasa, uzi huu utumike kufanya chaguzi za viongozi wa ngazi ya juu kabisa watakaokuwa watetezi wa maslahi ya chama hiki.
Nafasi zitakazo husika
Mwenyekiti
Makamu mwenyekiti
Katibu mkuu
Katibu saidizi
Mhazini.
Na nguvu aliyopewa mwenyejiti na katiba ya CHAPUTA atateua viongozi wafuatao
Afisa mahusiano wa chaputa
Msajili mkuu wa chaputa
Kamati ya maadili ya chaputa
Wawakilishi wa chaputa wa kila mkoa.
Ni nafasi ya kila mwanachama wa vhaputa kugombea na kujinadi ni kwa namna gani atakiongoza chama hiki kikongwe kabisa.
Karibuni