Charles Darwin 3rd Degree MM aliefanikiwa kuupotosha ulimwengu kwa Illuminati agenda

Kwa hy unatakaa kuniambia kutokan na tabia za nchii kubadilikaa badilikaa ulitokaa kirobotoo mpk nyanii mwishowe binadamu kbs.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chanzo cha evolution siyo kiroboto, hadi sasa hakuna jibu linalojitosheleza la nini chanzo cha uhai.
Hata hivyo evolution ni theory na si principle.....Halafu mimi ni examiner na si defender wa evolution.

Mwisho uwe unafanya proofreading baada ya kuandika, la sivyo Kiswahili chako kinasomeka kama Kihindi.
 
Umedai hakuna rekodi za Charles Darwin katika temple lolote ya freemasonry,
How come you tell us that he was a 3rd degree MM?
 
Nilijibu kisiasa ilaa hp kwenye kuandikaa nielekezee vzr mkuu
 
Atakuumiza kichwa bure huyo ,
Muulize hv what is the cancer ..!!??
 
Ahahah, umetisha mkuu huyu Darwin kazingua sana
 
Tatizo moja nilililogundua kwenye huu uzi, watu wengi hawana maelezo ya kutosha juu ya evolution.

Wanachukuli evolution kishabiki mno tena baada ya kuchakachuliwa na watu wenye chuki juu ya hii nadharia.
Ni hao hao wanaolishwa mahubiri na kuyameza kama yalivyo bila kuhoji....wamekuwa universal receivers wa kila wanachoambiwa......Jaribuni kutafuta maelezo ya kila jambo na kulitathmini kabla ya kulipokea kama ulivyoletewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…