Charles Darwin 3rd Degree MM aliefanikiwa kuupotosha ulimwengu kwa Illuminati agenda

Charles Darwin 3rd Degree MM aliefanikiwa kuupotosha ulimwengu kwa Illuminati agenda

Evolution[changes] ni moja kati ya tabia za viumbe hai.
Ni kama zilivyo excretion, growth ama Mvt.
Tofauti na tabia nyingine, evolution inakuwa influenced by environmental changes, viumbe hawabadiliki bila sababu bali ili waendane na mazingira yaliyobadilika.

Mabadiliko ya kimazingira yanatokea kwa kasi ndogo mno kana kwamba ni vigumu kugundua hayo mabadiliko kwa muda mfupi.Vivyo hivyo mabadiliko ya viumbe hai yanatokea kwa kasi ndogo pia.
Hata hivyo, evolution inatazamwa kama nadharia, ndiyo maana evolutionists wanakusanya ushahidi kila wakati.
Kitu kingine, viumbe wanapobadilika hawabadiliki intentionally kuwa form watakayokuwa bali kuwa katika form yenye features zitakazo wawezesha ku-cope na namna ambavyo mazingira yamebadilika.

Kinachonishangaza ni jinsi ambavyo wafia dini mnavyoichukulia evolution kama counterattack ya creationism na kuipinga kwa kusema ni mpango wa Shetani badala ya kuichukulia kama research question kujua kama lisemwalo ni kweli ama lah!.Siwezi kuwalaumu kwa hilo maana hizo dini zenu zinahimiza kuamini badala ya kutafiti[chanzo cha ujinga].

Watu wajinga wajinga kama wewe ndio mnakuja kuuliza maswali ya kipumbavu baada ya kuaminishwa kuwa evolution ni mpango wa Shetani.
Eti mtu unauliza kwanini viroboto hawaoti miguu?....kwani viroboto hawana miguu?....Miguu aliyonayo haimtoshi?
Hukuona aibu kuuliza hilo swali?.....au wewe ndo mbuzi wa kafara kwenye 1:4?
Pumba crap mashudu at it's reality

Yaani wewe ni taahira na kiroboto nyani kima tumbili chawa minyoo samaki konokono na nzi wa chooni kwa mujibu wa evolutionary.

Pole sana a modern tumbili.
 
If God plus all what you call Heavenly things are known by faith, how were they injected into the physical world?
Can you prove the existence of those Heavenly things?
Inahitaji akili ya maiti kuamini kama binadamu alitokana na nyani.
 
Yaani wewe ni taahira na kiroboto nyani kima tumbili chawa minyoo samaki konokono na nzi wa chooni kwa mujibu wa evolutionary.

Pole sana a modern tumbili.
Reply yako hainishangazi maana Mungu aliumba ubongo wako kwa matope.
 
Siwezi kukulaumu maana evolution unayojua ni ile ya History form one, Evolution of Man......Probably I can bet.
Naelewa evolution inside and out na wapo watu na elimu zao professors Dr's Engineers Scientists wameikuta na upotoshaji na uongo chungu mzima sio wewe tabularasa ambae hata hujafanya research ya idadi ya wadogo zako.
 
Naelewa evolution inside and out na wapo watu na elimu zao professors Dr's Engineers Scientists wameikuta na upotoshaji na uongo chungu mzima sio wewe tabularasa ambae hata hujafanya research ya idadi ya wadogo zako.
Kwahiyo hiyo creationism mmeifanyia research kujua kwamba ni kweli?
 
Kwahiyo hiyo creationism mmeifanyia research kujua kwamba ni kweli?
Only one question
wpid-Photo-Feb-2-2014-356-PM.jpg
 
Kwa nini unaipangia evolution unavyotaka wewe bacteria awe kirusi wakati the main idea behind evolution is based on random mutation na natural selection?

Umesoma hiyo habari? Umeelewa kwa nini wanasema "delaying the inevitable"?

Kwa nini unafikiri anapiga mark time hapo hapo wakati process ya kubadilika inatumia mabilioni ya miaka?

Wewe unakuwa kama wale wanaouliza kwa nini hatuoni nyani akibadilika kuwa mtu kama vile evolution inatumia miaka michache wakati inachukua mabilioni ya miaka.

Ni kama vile ubishie continental drift theory kwa kuuliza "kama continents zime drift na zina drift, mbona hatuoni Afrika na South Amerika zikigongana?

Wakati rate ya movement ya continents ni 2 centimeters per year!
Jamani mi nimekaa Ngorongoro mbona hata nyani mmoja hajaonyesha dalili za kubadilika? Hapa wazungu walipotoka. Hakunaga kitu hiyo aisee.
 
If God plus all what you call Heavenly things are known by faith, how were they injected into the physical world?
Can you prove the existence of those Heavenly things?
Till you meditate the word of God,
 
Unafahamu tatizo la antibiotic resistance? Unafahamu kwa nini dawa za antibiotics nyingi za zamani hazifanyi kazi?
"MKUU KIRANGA NAOMBA UNIELEZEE KUHUSU SEROLOGY IN DETAILS
NAFIKIRI TATIZO LA ANTIBIOTIC RESISTANCE TULIHUSIANISHE NA SPECIATION NA SIO EVOLUTIN KWA SANA BALI VIPO IN SAME STATE BUT DIFFERENT EXPLANATIONS"
 
Mkuu Kiranga hapo umewauwa...Kila kiumbe kinabadilika kulingana na mazingira, mfano bacteria na viruses (lower organisms) wanafanya evolution ya haraka kuliko binadamu(higher organisms).Ndio maana kuna aina ( strains) mbali mbali za hawa bacteria na viruses.Angali kitu kama HIV, kuna aina mbali mbali wa HIV, zamani kulikuwa na aina moja(Possibly) ya huyu kirusi lakini kutokana na kubadilika kwa mazingira anayoishi, DNA zake hubadilika(Evolution) ili aweze kuadapt kwenye mazingira mapya.....Kama mtu anasumbuliwa na ugonjwa unaosababishwa na bacteria au virus flani na kutumia dawa, kuna uwezekano wa yule mdudu kujibadili ili aweze kuishi kwenye mazingira yaliyobadilika(baada ya kutumia dawa) na hivyo kumlazimu mgonjwa kutumia dawa nyingine.Hii ndio sababu ya ugonjwa mmoja kuwa na dawa zaidi ya moja.


Lakini kwa kuwa hawa wafia dini wana viazi mbatata juu ya shingo, subiri kupewa jibu lililo nje ya swali au kuulizwa swali lililo nje ya mada.
mkuu charmilton sikatai kuwa na ww ni mfia theory za ajabu kama hizi ila ningependa unielezee in details kuhusu serology
 
mkuu charmilton sikatai kuwa na ww ni mfia theory za ajabu kama hizi ila ningependa unielezee in details kuhusu serology
Mimi siyo mfia theory kama unavyodai, mimi ninajifunza nikiwa na mawazo huru.


Kabla ya kuelezea Serology[ambayo ipo wazi hata kwa jina tu] unaweza kuniambia inahusiana vipi na kinachojadiliwa?....au ni mbinu ya kutoa treni kwenye reli?
 
Question religion(and other theories) question it all,questions exist until them questions are solved.
 
Hilo swali ili mwalimu wa history alijibu inatakiwa awe deep pia kwenye biology(science) kitu ambacho ni ngumu, na tatizo ni kurelay ktk source moja tu. Elimu yetu tunasoma na kukariri ili kujibia mitihani tu, sio kutafakari.
Umeongea vyema atoto, hii elimu ya kukariri ambayo haitoi nafasi ya mtu kufikirisha ubongo zaidi badala yake inalazimisha utembelee kwenye kanuni zile zile na ukienda tofauti umekosea haja kama ulikuwa kwenye mtiririko wa kuleta jibu sahihi, hii ni hatari sana.
Ndiyo maana kuna kanuni nyingine zimepingwa na kuonekana ni za kufikirika.
 
Mimi siyo mfia theory kama unavyodai, mimi ninajifunza nikiwa na mawazo huru.


Kabla ya kuelezea Serology[ambayo ipo wazi hata kwa jina tu] unaweza kuniambia inahusiana vipi na kinachojadiliwa?....au ni mbinu ya kutoa treni kwenye reli?
HAPO NDIPO NILIPOJUA KWAMBA UNADANDIA TRENI KWA MBELE YAANI KAMA UNGESOMA MADA VIZURI UNGEELEWA SWALI NILILOKUULIZA NI KWAMBA WENYE MAWAZO HURU KAMA NINYI MNAAAMINI KUHUSIANA NA EVOLUTION SAWA SIKATAI ILA NI KWA SABABU GANI GENETICAL MAKE UP PROTEIN YA SAMAKI HAIFANANI NA YA BINADAMU AU NYANI UKIZINGATIA KWAMBA MAWAZO YAKO HURU YANATUELEZEA KWAMBA SAMAKI ALI EVOLVE HADI KUWA MTU .FEEDBACK NASUBURI FEEDBACK
 
HAPO NDIPO NILIPOJUA KWAMBA UNADANDIA TRENI KWA MBELE YAANI KAMA UNGESOMA MADA VIZURI UNGEELEWA SWALI NILILOKUULIZA NI KWAMBA WENYE MAWAZO HURU KAMA NINYI MNAAAMINI KUHUSIANA NA EVOLUTION SAWA SIKATAI ILA NI KWA SABABU GANI GENETICAL MAKE UP PROTEIN YA SAMAKI HAIFANANI NA YA BINADAMU AU NYANI UKIZINGATIA KWAMBA MAWAZO YAKO HURU YANATUELEZEA KWAMBA SAMAKI ALI EVOLVE HADI KUWA MTU .FEEDBACK NASUBURI FEEDBACK
Wewe unataka kujua kuhusu Serology au Genome?.....au hujui tofauti kati ya hivyo vitu viwili?

Unajua ni kwa asilimia ngapi DNA za watu zinafanana na za Samaki au Nyani?

Genetical make up protein ndo kitu gani?

Halafu uandishi wako ni changamoto, huzingatii umuhimu wa matumizi ya herufi kubwa.
 
Mkuu Kiranga hapo umewauwa...Kila kiumbe kinabadilika kulingana na mazingira, mfano bacteria na viruses (lower organisms) wanafanya evolution ya haraka kuliko binadamu(higher organisms).Ndio maana kuna aina ( strains) mbali mbali za hawa bacteria na viruses.Angali kitu kama HIV, kuna aina mbali mbali wa HIV, zamani kulikuwa na aina moja(Possibly) ya huyu kirusi lakini kutokana na kubadilika kwa mazingira anayoishi, DNA zake hubadilika(Evolution) ili aweze kuadapt kwenye mazingira mapya.....Kama mtu anasumbuliwa na ugonjwa unaosababishwa na bacteria au virus flani na kutumia dawa, kuna uwezekano wa yule mdudu kujibadili ili aweze kuishi kwenye mazingira yaliyobadilika(baada ya kutumia dawa) na hivyo kumlazimu mgonjwa kutumia dawa nyingine.Hii ndio sababu ya ugonjwa mmoja kuwa na dawa zaidi ya moja.


Lakini kwa kuwa hawa wafia dini wana viazi mbatata juu ya shingo, subiri kupewa jibu lililo nje ya swali au kuulizwa swali lililo nje ya mada.
Kwa hy unatakaa kuniambia kutokan na tabia za nchii kubadilikaa badilikaa ulitokaa kirobotoo mpk nyanii mwishowe binadamu kbs.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom