Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
swali la msingiMna passport ya Kizanzibari au ya Tanzania?
Tena mshsmba kutoka huko mbali kabisa Kakonko.Tena MBUGILA kabisa
Ova
Mbugila ni punguwani kabisa yaniNaomba Kuuliza hivi MBUGILA maana yake ni nini?
Ni Mbumbumbu.....!
Maana nataka niunge mkono Hoja ila nasita...isije kuwa Mbugila ni Mheshimiwa......!
Kama ndo hivyo na samia arudi zanzibar tushachoka na ubaguzi wenuRais Hussein Mwinyi kumteua Charles Hillary kuwa Mkuu wa mawasiliano Ikulu ni kuwadharau wazanzibari.Wazanzibari wapo kibao ambao wangeweza kushika nafasi hiyo.Labda kilichokusukuma mpaka ukamteua ni kufanya kazi kwake BBC...
Rais Hussein Mwinyi kumteua Charles Hillary kuwa Mkuu wa mawasiliano Ikulu ni kuwadharau wazanzibari.Wazanzibari wapo kibao ambao wangeweza kushika nafasi hiyo.Labda kilichokusukuma mpaka ukamteua ni kufanya kazi kwake BBC...
Makukubali weweKama ndo hivyo na samia arudi zanzibar tushachoka na ubaguzi wenu
Hongera kwakeWakuu Kuna Mabadiliko Ya Nafasi kule Ikulu Zanzibar.
Charles Hilary ameteuliwa na Rais Mwinyi Kuwa DG mpya Wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Zanzibar..
Kulikoni Wa Kwetu Huyu Van Mohammed Tena Kuliwa Kichwa?View attachment 2063000
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais Hussein Mwinyi kumteua Charles Hillary kuwa Mkuu wa mawasiliano Ikulu ni kuwadharau wazanzibari.Wazanzibari wapo kibao ambao wangeweza kushika nafasi hiyo.
Labda kilichokusukuma mpaka ukamteua ni kufanya kazi kwake BBC.Muulize Rais mstaafu Jakaya kwa nini alimuondoa Tido Mhando TBC? Dr President Hussein uteuzi wa Hillary hauendani na utamaduni wa Zanzibar.
Wapo akina Ally Saleh,Salim Kikeke,na wengine wengi ambao ni wazanzibari original.Hatutaki mamluki toka sehemu zingine.Zanzibar Nation belong to Zanzibaris.