Roho yangu imekuwaje?!Wewe na hio roho yako ndo mchawi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Roho yangu imekuwaje?!Wewe na hio roho yako ndo mchawi
Huwezi badili asili yako hata mara moja.Mgombea ubunge wa CCM Vunjo, Dr. Charles Kimei anatuaibisha na picha zinazo zunguka kwamba kafanya TAMBIKO ili awe mbunge. Msomi mzima anafanya mambo ya ajabu.
View attachment 1557923View attachment 1557925
Siasa tamu sanaMgombea ubunge wa CCM Vunjo, Dr. Charles Kimei anatuaibisha na picha zinazo zunguka kwamba kafanya TAMBIKO ili awe mbunge. Msomi mzima anafanya mambo ya ajabu.
View attachment 1557923View attachment 1557925
Hiyo ndio asili ya Kimei?!Huwezi badili asili yako hata mara moja.
Ndio au kuna nyingine unayo ijua utuambie?Hiyo ndio asili ya Kimei?!
Kwa ccm hakuna lisilowezekana....... Hata rushwa inamajina mengi sn kwa ccm ili kuihalalishaPlease usikashifu mila zetu za kiasili za Kiafrika, za kufanya matambiko kutaita upuuzi!.
P
.Huwezi badili asili yako hata mara moja.
Sikujua Kama huyu Mh niliyempa heshima Sana anaweza kuwa mpuuzi kiasi hiki[emoji33]
Imetuma screenshot hapaRoho yangu imekuwaje?!
Mgombea ubunge wa CCM Vunjo, Dr. Charles Kimei anatuaibisha na picha zinazo zunguka kwamba kafanya TAMBIKO ili awe mbunge. Msomi mzima anafanya mambo ya ajabu.
View attachment 1557923View attachment 1557925
Acheni watu na utamaduni zao. Sisi waafrika tuna tamaduni zetu ambazo Ni tofauti na wazungu. Lakini wanazieshimu.Mgombea ubunge wa CCM Vunjo, Dr. Charles Kimei anatuaibisha na picha zinazo zunguka kwamba kafanya TAMBIKO ili awe mbunge. Msomi mzima anafanya mambo ya ajabu.
View attachment 1557923View attachment 1557925
Unataka kutuambia kuwa prince Charle na mwanawe pamoja na daughter in law wake walitambikwa kujikinga kwa jambo au kushinda uchaguzi? Kuna tafauti kubwa mno kati ya kuheshimu utamaduni wa mwenyeji wako na kutambikwa kwa kuamini kuwa tambiko ndio litakalokusaidia upate utakalo.