Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamal Malinzi: sheria na kanuni za FIFA ziko wazi, ukisiposhiriki kwenye mashindano mara mbili mfululizo utakutana na panga la FIFA.
Mimi huwa sielewi kitu kimoja, Hivi selection ya wachezaji wa timu ya taifa huwa inafanyikaje? au wanachagua majina na si kipaji? au ni usimba na uyanga? mbona nchi hii kuna jamaa wanapiga mpira balaa wapo pembezoni mwa mjini, I suggest iundwe scouting team ipite sehemu mbalimbali za nchi hii kusaka vipaji vijana wasukwe ki-Professional Ethics, vinginevyo na huyu atatimuliwa tu
Swali kutoka kwa mwandishi: Mkwasa atakuwa kocha kwa muda mgani wakati kocha wa kudumu akisakwa?
Jamal Malinzi: Kwanza niliongea na muajiri wake ambaye ni Bw. Manji kupata ruksa yake kisha tukaongea na mwalimu. Mpango tulionao na Mwalimu ni hadi Septemba 30 ingawa lolote linaweza kutokea ndani ya kipindi hicho
Kocha msaidizi wa klabu anapoteuliwa kuwa kocha wa timu ya Taifa......
Mkuu, Mkwasa anaishi Tegeta Kibaoni.Kwahiyo pale fire Mkwasa anahama sasa ili wakimfukuza baadaye arudi tena pale pale fire?
Mkwasa Hakai Fire Japo Alikuwa Anakaa Hapo Zamani Jirani Kabisa Na Kwao Said Tully Wa Simba Na Kwa Sasa Mkwasa Anaishi Tegeta Nyuki Kwa Mkewe Mheshimiwa Mkuu Wa Wilaya Betty Mkwasa Na Kuna Salon Moja Ya Kiume Hapo Hapo Jirani Na Njia Ya Kuelekea Chuo Kipya Cha Uandishi Wa Habari Cha PSJ Muda Mwingi Hukaa Hapo Kupiga Stori Na MASELA Na Wazee Vijana Wenzie.
For me he is worth t but namuona mjinga kama akienda,y leo? Je watalipa the same as nooj,24m?if not basi he will be toilet paper
Swali kutoka kwa mwandishi: Mkwasa atakuwa kocha kwa muda mgani wakati kocha wa kudumu akisakwa?
Jamal Malinzi: Kwanza niliongea na muajiri wake ambaye ni Bw. Manji kupata ruksa yake kisha tukaongea na mwalimu. Mpango tulionao na Mwalimu ni hadi Septemba 30 ingawa lolote linaweza kutokea ndani ya kipindi hicho
Kocha msaidizi wa klabu bingwa anapoteuliwa kuwa kocha wa mpito wa Timu ya Taifa ........Kocha msaidizi wa klabu anapoteuliwa kuwa kocha wa timu ya Taifa......
Kumbe mwajiri wake ni Manji na sio Yanga!!!!
Au kwa kuwa Yanga wamekuwa mabingwa??
Kiukweli kama Manji anampa mkwanja mzuri ningemshauri ajibakie zake Yanga... kwenda kunyoa kichwa cha wendawazimu, hatafika December atakuwa kasharushiwa virago. Asitegemee atapata kile walichokuwa wanapata wazungu....
Ni ushauri tu.