Tetesi: Charles Moremi: Kampeni za ubunge 2020 serengeti zimeanza?

Tetesi: Charles Moremi: Kampeni za ubunge 2020 serengeti zimeanza?

grumeti

Member
Joined
May 27, 2013
Posts
20
Reaction score
19
Wadau wa jukwaa hili,kumekuwepo na pitapita kwa kijana mmoja anayeitwa Charles Moremi katika vijiji mbalimbali vya wilaya ya Serengeti na kutoa misaada mbalimbali kama kuchangia madawati huku akisema anaunga jitihada za Mhe. Rais za kuhakikisha wanafunzi hawakai chini.

Na inasemekana ni katika kujipambanua na kuweka mambo sawa kwa matayarisho ya uchaguzi wa 2020 katika jimbo la Serengeti.

Hivi kwa nini huyu mtu asizuiwe hadi ifike 2020 kama Rais alivyosema kampeni zimeisha mpaka 2020? au kwa vile ni kada wa maccm? Jimbo la Serengeti si lina mbunge? Au wadau mnalionaje
 
Acha atoe msaada ni haki yake ya kikatiba, Magufuli hana mamlaka ya kuzuia mikutano na siasa anacho kifanya saizi ni kuchezea katiba aliyo iapa kuilinda,
 
Ulichokisema ni tetesi lakini yeye anachangia madawati na maendeleo,Mara nyingi ikiwa ni tetesi Basi hakuna hatua za kuchukua. Kachunguze vuzuri maana usije ukasrma na wanaochangia misaada bukoba nayo ni kampeni.
 
Back
Top Bottom