Halafu wewe ni demu wa chasambi nini, nimekufuatilia sana nakuzoom tu...Haendi kokote, mwamba yupo sana. Hamtaki tokeni nyinyi mashabiki uchwara.
Ila Chasambi salamu zikufikie huko uliko, tunakupenda sana 🥰
Tuanze kwanza na wewe. Ni mwaka wa ngapi huu bado tu unaishi kwa shemeji yako?Nashauri huyu dogo afukuzwe, mpuuzi sana
YangaAfukuzwe aende wapi?
Toka wewe.
Hana mapenzi na Simba, haijalishi ni bora kiasi ganiHujui mpira kolo wahedi, rudia video utaona Camara alinyanyua mkono kuomba mpira dogo akamtumia, kosa ni la kipa sio chasambi, dogo alikiwasha sana leo na anafaa kuitwa Taifa stars
Kwa hiyo kipa akinyoosha unampa tu mpira?? Zongatia alikuwa mita ngapi toka mstari wa kati, na wachezaji wangapi walikuwa openHujui mpira kolo wahedi, rudia video utaona Camara alinyanyua mkono kuomba mpira dogo akamtumia, kosa ni la kipa sio chasambi, dogo alikiwasha sana leo na anafaa kuitwa Taifa stars
Acheni hizo mnataka dogo aende wapi?Afukuzwe mpumbavu sana huyu pimbi.
Hahahampuuzi mwenyewe...asa niende wapi
Ni wivu tumpuuzi mwenyewe...asa niende wapi
Unadhani kuwa mtamkomoa na hata pata timu yoyote ya kuchezea?Afukuzwe mpumbavu sana huyu pimbi.
Aende Yanga akacheze na Max nzegeliAcheni hizo mnataka dogo aende wapi?
Acha ushabiki maandazi,Che Malone kachoma mara ngapi mbona hamumfukuziNashauri huyu dogo afukuzwe, mpuuzi sana