Chasambi amenunua chuki kwa mashabiki wa Simba tokea aseme role model wake ni Nzengeli

Chasambi amenunua chuki kwa mashabiki wa Simba tokea aseme role model wake ni Nzengeli

vibertz

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2022
Posts
2,474
Reaction score
4,726
Mpira aliopiga leo kurudisha kwa kipa, aliupiga akiamini goli kipa upo eneo sahihi. Kwa bahati mbaya Camara kama kawaida yake alikuwa kaisha liacha goli hivyo ule mpira ulimshinda kuukoa. Mashabiki wa Simba wameona kosa la Chasambi tu kwavile ndiye ameguka chukizo kwa wana Simba kutokana na kauli yake kuhusu wachezaji wenzie wa Simba ila kiuhalisia hata Camara anastahili lawama maana angekuwa eneo lake sahihi, ule mpira angeukoa
 
Kwani ule mpira yeye alivyopasiwa na Kipa alipasiwa akiwa yupo kwenye direction gani?

Alipasiwa akiwa amelipa kisogo lango la Camara or he was facing the goal?

Anastahili lawama na pengine lawama zingekuwa ndogo ila kauli yake nadhani hata yeye kama hakukusudia basi ndio kitu anachokijutia zaidi kwa sasa.
 
Sasa Unamlaumu Camara kivipi na yeye si anenda na movement zinavyokwenda.
 
Mpira aliopiga leo kurudisha kwa kipa, aliupiga akiamini goli kipa upo eneo sahihi. Kwa bahati mbaya Camara kama kawaida yake alikuwa kaisha liacha goli hivyo ule mpira ulimshinda kuukoa. Mashabiki wa Simba wameona kosa la Chasambi tu kwavile ndiye ameguka chukizo kwa wana Simba kutokana na kauli yake kuhusu wachezaji wenzie wa Simba ila kiuhalisia hata Camara anastahili lawama maana angekuwa eneo lake sahihi, ule mpira angeukoa
Angeacha iwe kona tu. Kipa mzembe yule.
 
Kwani ule mpira yeye alivyopasiwa na Kipa alipasiwa akiwa yupo kwenye direction gani?

Alipasiwa akiwa amelipa kisogo lango la Camara or he was facing the goal?

Anastahili lawama na pengine lawama zingekuwa ndogo ila kauli yake nadhani hata yeye kama hakukusudia basi ndio kitu anachokijutia zaidi kwa sasa.
Team zinatukamia alafu hatuwezi linda magoli tunayopata kwa shida.

Asugue bechi wakome kucheza back pasi bila sababu
 
Unapopiga pasi huwa unapiga kwa hisia au kwa kuangalia position ya unaempa pasi ili ufanye maamuzi. Tuache kuwa tunatetea ujinga. Huyu dogo toka alipoanza kujiona superstar ana matatizo mengi. Kila mara alikuwa anakimbilia kuchukua mpira apige Kona lakini Kona zenyewe anazopiga ni za ajabu ajabu.
 
Team zinatukamia alafu hatuwezi linda magoli tunayopata kwa shida.

Asugue bechi wakome kucheza back pasi bila sababu
Back pass kwangu sio tatizo najua ni sehemu ya mbinu ya kumvuta mpinzani ili mfanye mashambulizi.

Hii aliyoifanya leo Chasambi hata kwa msamaha wa magoti siwezi kumuelewa.
 
Back pass kwangu sio tatizo najua ni sehemu ya mbinu ya kumvuta mpinzani ili mfanye mashambulizi.

Hii aliyoifanya leo Chasambi hata kwa msamaha wa magoti siwezi kumuelewa.
Afu kaikevu kama anafunga yaan
 
Dogo ni mshamba tuu, ile pasi ni bora angemrudishia Ngoma au angepiga tu mpira nje,ilikuwa pasi nzito sana kuirudisha kwa kipa
 
Dogo kachana mikeka ya maelfu ya watu leo aiseee
 
Kwani ule mpira yeye alivyopasiwa na Kipa alipasiwa akiwa yupo kwenye direction gani?

Alipasiwa akiwa amelipa kisogo lango la Camara or he was facing the goal?

Anastahili lawama na pengine lawama zingekuwa ndogo ila kauli yake nadhani hata yeye kama hakukusudia basi ndio kitu anachokijutia zaidi kwa sasa.
Anastahili lawama za mashabiki viazi kama wewe. Mistakes are common in football!!
 
Pengo la kibu Leo limeonekana wazi wazi. Tatizo la coach wetu ni kuwa Amini Awa madogo kwenye mechi muhimu wakati wapo experience plays amewaweka Benchi.

Dogo Ametupiga na kitu kizito 😭
 
Back
Top Bottom