Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Buibui mtuHapana Aliishiwa nyuzi si unajua tena mabo Spider
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Buibui mtuHapana Aliishiwa nyuzi si unajua tena mabo Spider
Not all mistakes are considered as coincidence.Anastahili lawama za mashabiki viazi kama wewe. Mistakes are common in football!!
So can you punish Chasambi for what happened?Not all mistakes are considered as coincidence.
Otherwise we shouldn't have punishment
Matahira tu... Mbona anapowafungia mnashangilia na haya mameno hamnayaseme!!. Chemalone amechomesha makosa ya aina hii zaidi ya 3.... Wapuuzi.Kwani ule mpira yeye alivyopasiwa na Kipa alipasiwa akiwa yupo kwenye direction gani?
Alipasiwa akiwa amelipa kisogo lango la Camara or he was facing the goal?
Anastahili lawama na pengine lawama zingekuwa ndogo ila kauli yake nadhani hata yeye kama hakukusudia basi ndio kitu anachokijutia zaidi kwa sasa.
Camara hasitahili lawama pale. Golikipa hawezi kaa golini mda wote, hiyo haiwezekani mkuu. Chasambi alikosea tu kutoa pasi (shuti) bila uhakika, bila utulivu, na angepeleka sehem nyingine kama angetulia. Lakini yote kwa yote, makosa ni sehem ya maisha tu.Mpira aliopiga leo kurudisha kwa kipa, aliupiga akiamini goli kipa upo eneo sahihi. Kwa bahati mbaya Camara kama kawaida yake alikuwa kaisha liacha goli hivyo ule mpira ulimshinda kuukoa. Mashabiki wa Simba wameona kosa la Chasambi tu kwavile ndiye ameguka chukizo kwa wana Simba kutokana na kauli yake kuhusu wachezaji wenzie wa Simba ila kiuhalisia hata Camara anastahili lawama maana angekuwa eneo lake sahihi, ule mpira angeukoa
sasa wewe umekuwa mkali. Ukali husio na tija mkuu. Kwamba mchezaji akifanya kosa hasikosolewe kwakuwa anafanya mazuri! Kukosolewa ni jambo ka kawaida, because you remind him his responsibility, isipokuwa sio sahihi kumuattack kiungwanaUUjing
Matahira tu... Mbona anapowafungia mnashangilia na haya mameno hamnayaseme!!. Chemalone amechomesha makosa ya aina hii zaidi ya 3.... Wapuuzi.