Angeacha iwe kona tu. Kipa mzembe yule.Mpira aliopiga leo kurudisha kwa kipa, aliupiga akiamini goli kipa upo eneo sahihi. Kwa bahati mbaya Camara kama kawaida yake alikuwa kaisha liacha goli hivyo ule mpira ulimshinda kuukoa. Mashabiki wa Simba wameona kosa la Chasambi tu kwavile ndiye ameguka chukizo kwa wana Simba kutokana na kauli yake kuhusu wachezaji wenzie wa Simba ila kiuhalisia hata Camara anastahili lawama maana angekuwa eneo lake sahihi, ule mpira angeukoa
Team zinatukamia alafu hatuwezi linda magoli tunayopata kwa shida.Kwani ule mpira yeye alivyopasiwa na Kipa alipasiwa akiwa yupo kwenye direction gani?
Alipasiwa akiwa amelipa kisogo lango la Camara or he was facing the goal?
Anastahili lawama na pengine lawama zingekuwa ndogo ila kauli yake nadhani hata yeye kama hakukusudia basi ndio kitu anachokijutia zaidi kwa sasa.
Iwe Kona gani mpira ulikuwa kati katikati ya uwanja yeye anapiga kulenga goli tena nyuma ya mchezaji manaa kipa alisogea walikuwa wanacheza one twoAngeacha iwe kona tu. Kipa mzembe yule.
Labda.Iwe Kona gani mpira ulikuwa kati katikati ya uwanja yeye anapiga kulenga goli tena nyuma ya mchezaji manaa kipa alisogea walikuwa wanacheza one two
Back pass kwangu sio tatizo najua ni sehemu ya mbinu ya kumvuta mpinzani ili mfanye mashambulizi.Team zinatukamia alafu hatuwezi linda magoli tunayopata kwa shida.
Asugue bechi wakome kucheza back pasi bila sababu
Afu kaikevu kama anafunga yaanBack pass kwangu sio tatizo najua ni sehemu ya mbinu ya kumvuta mpinzani ili mfanye mashambulizi.
Hii aliyoifanya leo Chasambi hata kwa msamaha wa magoti siwezi kumuelewa.
Anastahili lawama za mashabiki viazi kama wewe. Mistakes are common in football!!Kwani ule mpira yeye alivyopasiwa na Kipa alipasiwa akiwa yupo kwenye direction gani?
Alipasiwa akiwa amelipa kisogo lango la Camara or he was facing the goal?
Anastahili lawama na pengine lawama zingekuwa ndogo ila kauli yake nadhani hata yeye kama hakukusudia basi ndio kitu anachokijutia zaidi kwa sasa.
Hapana Aliishiwa nyuzi si unajua tena mabo SpiderKwan kipini si ni kipa la macontrol au leo yalikua yameenda kutembea macontrol..
Kiazi ni weweAnastahili lawama za mashabiki viazi kama wewe. Mistakes are common in football!!
Buibui mtuKwan kipini si ni kipa la macontrol au leo yalikua yameenda kutembea macontrol..