Chasha Msaada wako Katika Hili

paramawe

Senior Member
Joined
Apr 13, 2013
Posts
151
Reaction score
24
Salaam kwa Wote humu! Nahitaji kujifunza Ufugaji Bora wa Kuku na mifugo mengne kwa kuona jinsi wengne walivyotengeneza Mazingira mazr na Jinsi wanavyofanya au kuendesha ufugaji vzr. Msaada naohitaji ni Shamba gani naweza kwenda walau kuona, na taratibu zipi zinatakiwa naomba kuelekezwa na kupewa mawasiliano km itawezekana. Iwe ndani ya nchi yetu au nchi jirani za Kenya na Uganda.

NB: chasha Ombi langu zaidi kwako km hautajali naomba nisaidie nizuru hata Shamba lako nina ndoto za kuwa km wewe. Ahsante.
 
Last edited by a moderator:
Wewe uko wapi? Sehemu za kwenda ziko nyingi mkuu kuaznia hapo ulipo na hadi nje ya nchi hasa Kenya, ila anza na jirani na ulipo na baadae unaweza sasa kuangalia na wafugaji walio mbali na ulipo
 


Unapoandika Thread kwa kuomba Msaada kwa mtu mmoja hata kama kuna wengine ambao wanaweza kukusaidia basi wanakaa kimya tu, na ni bora ungemwandikia PM tu, kuliko kuandika uzi

ni maoni yangu tu
 
Wewe uko wapi? Sehemu za kwenda ziko nyingi mkuu kuaznia hapo ulipo na hadi nje ya nchi hasa Kenya, ila anza na jirani na ulipo na baadae unaweza sasa kuangalia na wafugaji walio mbali na ulipo

Nipo Mkoa wa Rukwa wafugaji si weng sn kwa huki ndio maana nataka nijikite ktk hii sekta
 
Unapoandika Thread kwa kuomba Msaada kwa mtu mmoja hata kama kuna wengine ambao wanaweza kukusaidia basi wanakaa kimya tu, na ni bora ungemwandikia PM tu, kuliko kuandika uzi

ni maoni yangu tu

kweli na ahsante kwa ushauri wako. nimezingatia sitarudia ila nitoe wito kwa alie tayari kunisaidia kwa kunielekeza anisaidie naomba jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…