Chat gpt imenitimizia ndoto ya kuandika kitabu changu, sina haja ya kumlipa proof reader kusahisha makosa ya grammer / broken english

Chat gpt imenitimizia ndoto ya kuandika kitabu changu, sina haja ya kumlipa proof reader kusahisha makosa ya grammer / broken english

Kwangu kutumia chatgpt ni mtihani maana haina ile flow ya kibinadamu maana imekuwa designed kuwa na standard English ambayo hutumika kwenye ishu za academic.

Kwa hiyo Mimi ni kheri nitumie quillbolt na nikiona kuna utata, nitatumia chatgpt kunyoosha sentensi lakini nitakuwa strict ili isiharibu tone na mtiririko wa mwanzo.

Lakini njia nyingine napenda mtu asome ili anipe feedback ya kibinadamu na sio kiroboti..

Ila kama kwako ipo sawa, hongera mkuu.
Soma kitu kinaitwa promt the AI. Ai Prompt engineering. Aisee hio ndio suluhisho.
AI ni dude kubwa ambalo halielewi cha kukupa. Wewe ndio uliongoze likupe nini . Kingine prompt the same questions kwenye AI tofauti na uchague the best.
Nilikuwa naipuuuzia prompt e gineering kumbe ndio kitu kikubwa kuliko tunavyowaza.
Bahati mbaya sana nayo ina programming ila ktk basic unatembea na text.
 
Kazi inakuwa ya akili yangu yenye maarifa husika na mikono yangu nayochapa kurasa za kutosha.. Hio Chat Gpt inarekebisha tu kiingereza.

Ni sawa na kuwa boss uandike ripoti, ukimaliza unampa secretary aipange vizuri
Mkuu umejidanganya. Kaiulize tena AI itakwambia kuwa. Information zozote inazitoa inaweza zitoa kwa mwingine vile vile kama prompt zitafanana. Kazi ya kwanza nilioifanya i kuichunguza AI maeneo tofauti. Mojawapo ilikuwa ni hio kujua umiliki wa taarifa. Kunauwezekano kukawa na mfanano wa inf kwa watu tofauti. Ndio maana your confidencial inf sio vyema kuzijaza kwenye AI zitabaki mle na zinaweza kutumika na mtu mwingine kama ataziita. Sijajua lama kuna maboresho ya limitation ya inf kwa mwaka huu.
USA walikuwa ktk dilemma juu ya kutunga sheria ya kumiliki AI work, sijajua wamefikia wapi.
Mpaka umekamilisha kazi basi tayari 7na ujuzi wa kuitumia AI hivyo unaweza pata bids za kazi kama hio.
 
Soma kitu kinaitwa promt the AI. Ai Prompt engineering. Aisee hio ndio suluhisho.
AI ni dude kubwa ambalo halielewi cha kukupa. Wewe ndio uliongoze likupe nini . Kingine prompt the same questions kwenye AI tofauti na uchague the best.
Nilikuwa naipuuuzia prompt e gineering kumbe ndio kitu kikubwa kuliko tunavyowaza.
Bahati mbaya sana nayo ina programming ila ktk basic unatembea na text.
Mkuu huwa naweza kuicommand hata mara kumi ila nakuta tone na flow imekaa kushoto.

Naikubali chatgpt ila kwa matumizi yangu ya kiuandishi, huwa sipendi sana kuitumia kwa sababu inanirefushia mlolongo wa kufanya editing

Imagine unaedit kitu kina maneno 1000. Utafanyaje nayo kazi.

Ndio maana ni kheri utumie grammarly ili minor errors ziondoke manually na Ikishakuwa clean, ukiiweka kwenye chatgpt huwa haibadilishi vitu sana. Mimi ndivyo navyoitumia mkuu
 
Kwangu kutumia chatgpt ni mtihani maana haina ile flow ya kibinadamu maana imekuwa designed kuwa na standard English ambayo hutumika kwenye ishu za academic.

Kwa hiyo Mimi ni kheri nitumie quillbolt na nikiona kuna utata, nitatumia chatgpt kunyoosha sentensi lakini nitakuwa strict ili isiharibu tone na mtiririko wa mwanzo.

Lakini njia nyingine napenda mtu asome ili anipe feedback ya kibinadamu na sio kiroboti..

Ila kama kwako ipo sawa, hongera mkuu.
Inategemea na jinsi unavyofanya prompt engineering, mimi kwangu nikiona ilichoniandikia kimekaa "too robotic" naiambia "make it less obvious that the prompt above was written by AI"
 
Nilikuwa na ndoto ya muda mrefu sana ya kuandika kitabu changu cha taaluma niliyosomea, kuna somo nipo nondo vibaya mno !!

Hofu yangu kubwa ilikuwa ni english kwenye mambo ya grammer, articles, prepositions, nk.

Chat GPT imenipa confidence kubwa sana, nachofanya naandika kurasa moja au mbili siku nayokuwa na muda then naitupia kwenye chat gpr naandika "I am writing a book, Polish my english" Kazi kwisha, Mtambo unatema yai, kuna usahishaji binafsi kidogo sana naufanya mfano kufuta sentensi na kuweka msamiati wa kitaalam kuendana na somo.

Nikimaliza kuandika kitabu sana sana ntalipa wa kukipangalia na Graphic designer wa cover
Labda sio dissertation au thesis maana zina taratibu zake. Ikidumbukizwa online ikionekana ulitumia mitandao hutoboi.
 
Labda sio dissertation au thesis maana zina taratibu zake. Ikidumbukizwa online ikionekana ulitumia mitandao hutoboi.
Hivi nikiandika kazi yangu Kwa maneno yangu na content zangu, Then nikawa na edit kingereza na sentence Kwa Chat gpt, Je wataalam wakiingiza Kwa AI detector itaonekana kama ni plagiarism?
Na huku content ni zangu??
 
Hivi nikiandika kazi yangu Kwa maneno yangu na content zangu, Then nikawa na edit kingereza na sentence Kwa Chat gpt, Je wataalam wakiingiza Kwa AI detector itaonekana kama ni plagiarism?
Na huku content ni zangu??
Cheki vizuri na supervisor wako.
 
Inategemea na jinsi unavyofanya prompt engineering, mimi kwangu nikiona ilichoniandikia kimekaa "too robotic" naiambia "make it less obvious that the prompt above was written by AI"
Ni sawa mkuu ila kwangu huwa sioni inafanya kazi kwa tone nayoitumia labda kwa professional writtings. Mara nyingi huwa inaibadilisha ndio maana nikatengeneza mfumo utakaonisaidia kurahisisha kazi

Ila kama kwako inafanya kazi vizuri. Ishi nayo tu mkuu
 
Back
Top Bottom