Chata kali ya jezi au viatu vya michezo

Chata kali ya jezi au viatu vya michezo

funzadume

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2010
Posts
13,624
Reaction score
21,362
Wadau wapenzi wa mazoezi je ni chata gani kali ya jezi unaipenda Zaidi na kwa sababu gani? Mie napenda Under Armour au Nike yaani nikivaa wakati nafanya jogging najihisi kupendeza na kwenda na wakati. Wewe unapebnda sport brand gani?
 
Wadau wapenzi wa mazoezi je ni chata gani kali ya jezi unaipenda Zaidi na kwa sababu gani? Mie napenda Under Armour au Nike yaani nikivaa wakati nafanya jogging najihisi kupendeza na kwenda na wakati. Wewe unapebnda sport brand gani?
Washauri TFF na vilabu
vya Tanzania waachane na uhlsport, sijui wanakwepa nini kuvaa brand za nike, puma, adidas etc
 
nike wana viatu vizuri(njumu)
new balance na adidas wana jezi nzuri me hivyo ndo nnavyochezea boli
 
Washauri TFF na vilabu
vya Tanzania waachane na uhlsport, sijui wanakwepa nini kuvaa brand za nike, puma, adidas etc
Mikataba mzee UHLSPORT ndio wamejitokeza na Ku offer mkataba wa vifaa vya michezo kwa club zetu na national Tim ..ulitaka wafanyeje...wakatae ?? Nike na Adidas kuja huku tz badae sana
 
Adidas na Nike tuwaweke pembeni ktk mchakato huu,hawa wanaogelea ktk dunia yao wao wenyewe
Kuna makampuni makubwa yanakuja na yanaweza kuwapiku soon kama umbro, Under Armour, na wenzao katika level yao kama Puma, Reebok, Asics, DKS, Sketchers, Converse na nyingine
 
Back
Top Bottom