njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Hawa jamaa nilishuhudia wakipigwa 4-0 last week na kutolewa kombe la shirikisho ila wanahitaji support kali watapanda daraja kitendo ambacho Geita Gold wamekishindwa miaka mingi,wapewe sapoti hawa vijana hata ya kujengewa uwanja. Mkubwa wa kisasa ili kupanua maendeleo ya soka na kuibua vipaji vilivyojificha.