Tetesi: Chato kutangazwa mkoa kabla awamu ya tano haijamaliza muda wake

Tetesi: Chato kutangazwa mkoa kabla awamu ya tano haijamaliza muda wake

state agent

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2019
Posts
1,764
Reaction score
2,510
Weka hii kichwani ,usibishane na mimi hili jambo ndio sababu ya mipango mikubwa kuiinua chato iwe juu na ikidhi hadhi ya mkoa,

Hii niliiambiwa na mkuu mmoja kazini nikiwa ziarani kanda ya ziwa yafuatayo lazima yafanyike:

Idadi ya watu mpaka sasa mkuu ametaka watu kuzaa sana hasa huku kanda ya ziwa wilaya zote zilizo karibu na chao.

Kuongeza vyanzo vya mapato vya uhakika hili ndio liko katika mkakati mkubwa na wanachato wanajua

Mikoa ya Kigoma ,Geita yenyewe na kagera itakatwa kuunda wilaya za Nyakanazi,Bukombe,Biharamulo, buseresere na maeneo ya Muleba yatahusishwa .

Kama unaswali weka hapa nikujibu,
 
Weka hii kichwani ,usibishane na mimi hili jambo ndio sababu ya mipango mikubwa kuiinua chato iwe juu na ikidhi hadhi ya mkoa,

Hii niliiambiwa na mkuu mmoja kazini nikiwa ziarani kanda ya ziwa yafuatayo lazima yafanyike:

Idadi ya watu mpaka sasa mkuu ametaka watu kuzaa sana hasa huku kanda ya ziwa wilaya zote zilizo karibu na chao.

Kuongeza vyanzo vya mapato vya uhakika hili ndio liko katika mkakati mkubwa na wanachato wanajua

Mikoa ya kigoma ,geita yenyewe na kagera itakatwa kuunda wilaya za nyakanazi,bukombe,biharamulo, buseresere na maeneo ya mureba yatahusishwa .

Kama unaswali weka hapa nikujibu,
Siamini kama Malaika atawachia kiti baada miaka 10 tusubir hadi 2050 tena rabda huenda akaomba kupumzika na hapo atakua keshaanzisha Malaika kama 20 wakumrithi na wakuja mlinda!
Hivyo bado mtasubir subir sana
 
Raisi kaamua kuwa mcheza kwao. Ila tusishangae siku Chato Airport ikaja kufugia mbuzi..
 
Weka hii kichwani ,usibishane na mimi hili jambo ndio sababu ya mipango mikubwa kuiinua chato iwe juu na ikidhi hadhi ya mkoa,

Hii niliiambiwa na mkuu mmoja kazini nikiwa ziarani kanda ya ziwa yafuatayo lazima yafanyike:

Idadi ya watu mpaka sasa mkuu ametaka watu kuzaa sana hasa huku kanda ya ziwa wilaya zote zilizo karibu na chao.

Kuongeza vyanzo vya mapato vya uhakika hili ndio liko katika mkakati mkubwa na wanachato wanajua

Mikoa ya Kigoma ,Geita yenyewe na kagera itakatwa kuunda wilaya za Nyakanazi,Bukombe,Biharamulo, buseresere na maeneo ya Muleba yatahusishwa .

Kama unaswali weka hapa nikujibu,

"Niliwahi kuleta uzi kama huu hapa jamvini.. Akina moderators waliufungua uzi ule.. Waka ni-PM kuwa naibua hisia za ubaguzi, ukabila na ukanda..!
Jamani moderators wa JF; mengine muwe mnafuatilia kwanza kabla ya kuamua tu kufungia uzi fulani.. Hili suala mimi niliambiwa na mtu mmoja mwenye madaraka makubwa sana pale Chato-Halmashauri.
state agent hongera sana kuanzisha uzi huu upya.
Kwa uhakika hili ni suala lisilopingika.. Na bila shaka lishaletwa mara kibao hapa jamvini.."
 
Safi sana, ajenge na chuo kikuu kikubwa kama cha UDSM Chato, iitwe Chato Unuversity of Science and Technology (CHAUST). Lazima nihamie Chato aisee
kitajengwa kijiji cha nyang'homango na kanyama. litakuwa bonge la chuo
 
Eti wanasema kuwa baada ya miaka kama 30 hivi Chattle itakuwa kama New York????!!!!!
 
Weka hii kichwani ,usibishane na mimi hili jambo ndio sababu ya mipango mikubwa kuiinua chato iwe juu na ikidhi hadhi ya mkoa,

Hii niliiambiwa na mkuu mmoja kazini nikiwa ziarani kanda ya ziwa yafuatayo lazima yafanyike:

Idadi ya watu mpaka sasa mkuu ametaka watu kuzaa sana hasa huku kanda ya ziwa wilaya zote zilizo karibu na chao.

Kuongeza vyanzo vya mapato vya uhakika hili ndio liko katika mkakati mkubwa na wanachato wanajua

Mikoa ya Kigoma ,Geita yenyewe na kagera itakatwa kuunda wilaya za Nyakanazi,Bukombe,Biharamulo, buseresere na maeneo ya Muleba yatahusishwa .

Kama unaswali weka hapa nikujibu,

Du yajayo yanafurahisha . Huu ni uongo wa Hali ya juu
 
Weka hii kichwani ,usibishane na mimi hili jambo ndio sababu ya mipango mikubwa kuiinua chato iwe juu na ikidhi hadhi ya mkoa,

Hii niliiambiwa na mkuu mmoja kazini nikiwa ziarani kanda ya ziwa yafuatayo lazima yafanyike:

Idadi ya watu mpaka sasa mkuu ametaka watu kuzaa sana hasa huku kanda ya ziwa wilaya zote zilizo karibu na chao.

Kuongeza vyanzo vya mapato vya uhakika hili ndio liko katika mkakati mkubwa na wanachato wanajua

Mikoa ya Kigoma ,Geita yenyewe na kagera itakatwa kuunda wilaya za Nyakanazi,Bukombe,Biharamulo, buseresere na maeneo ya Muleba yatahusishwa .

Kama unaswali weka hapa nikujibu,
Chato for president
 
Hakuna cha ajabu wala jipya hapo hapo na hilo litafanyika sambamba na maeneo mengine ya kiutawala nchini kuanzishwa kama mkoa wa Ulanga/kilombero,mkoa wa Tunduru,Igunga,manispaa ya Kahama,na wilaya nyingi tu zitaanzishwa sanjari na mkoa huo mpya wa huko Chato
 
Du yajayo yanafurahisha . Huu ni uongo wa Hali ya juu

Wewe sema ni uongo.. wenzako hadi majina washaanza kupendekeza..
Kuna majina yanatamkwa tamkwa kama Rubondo...Chato... Burigi.. Subi..n.k
 
Back
Top Bottom