Tetesi: Chato kutangazwa mkoa kabla awamu ya tano haijamaliza muda wake

Tetesi: Chato kutangazwa mkoa kabla awamu ya tano haijamaliza muda wake

Mikoa ya Kigoma ,Geita yenyewe na kagera itakatwa kuunda wilaya za Nyakanazi,Bukombe,Biharamulo, buseresere na maeneo ya Muleba yatahusishwa .

Kama unaswali weka hapa nikujibu
Kuhusu kuunda mkoa mpya Nyakanazi, Kakonko na Ngara ilishapendekezwa na wabunge waunde mkoa kwa kua maeneo haya yako mbali sana na makao makuu ya mikoa husika makao makuu yalipendekezwa yawe Nyakanazi.
Kama makao makuu yatakua Chato itakua ni tatizo sana kwa kua kijiografia kutoka Chato hadi Kakonko itakua mbali sana.
Labda makao makuu ya Geita yakihamia Chato majengo ya Geita yakageuka shule au hospitali.
Zitto
 
Kuhusu kuunda mkoa mpya Nyakanazi, Kakonko na Ngara ilishapendekezwa na wabunge waunde mkoa kwa kua maeneo haya yako mbali sana na makao makuu ya mikoa husika makao makuu yalipendekezwa yawe Nyakanazi.
Kama makao makuu yatakua Chato itakua ni tatizo sana kwa kua kijiografia kutoka Chato hadi Kakonko itakua mbali sana.
Labda makao makuu ya Geita yakihamia Chato majengo ya Geita yakageuka shule au hospitali.
Zitto

Kwa taarifa za chini chini ni kuwa namba moja hajawahi kukubalika pale Geita... Ndo maana anajitengenezea mbingu yake pale Chato..
 
Weka hii kichwani ,usibishane na mimi hili jambo ndio sababu ya mipango mikubwa kuiinua chato iwe juu na ikidhi hadhi ya mkoa,

Hii niliiambiwa na mkuu mmoja kazini nikiwa ziarani kanda ya ziwa yafuatayo lazima yafanyike:

Idadi ya watu mpaka sasa mkuu ametaka watu kuzaa sana hasa huku kanda ya ziwa wilaya zote zilizo karibu na chao.

Kuongeza vyanzo vya mapato vya uhakika hili ndio liko katika mkakati mkubwa na wanachato wanajua

Mikoa ya Kigoma ,Geita yenyewe na kagera itakatwa kuunda wilaya za Nyakanazi,Bukombe,Biharamulo, buseresere na maeneo ya Muleba yatahusishwa .

Kama unaswali weka hapa nikujibu,
FB_IMG_1562781134062.jpg
 
Namlaumu sana aliyetenganisha jimbo la biharamulo na kuanzisha jimbo la biharamulo magharibi na mashariki, baada ya hapo akaanzisha jimbo la chato na baadae wilaya ya chato. hakuishia hapo, baadae akaanzisha mkoa wa geita. huyu mtu aliyefanya hayo yote ndiye chanzo cha yote tunayoyaona sasa.
 
Back
Top Bottom