Samwel Ngulinzira
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,829
- 1,972
Kuhusu kuunda mkoa mpya Nyakanazi, Kakonko na Ngara ilishapendekezwa na wabunge waunde mkoa kwa kua maeneo haya yako mbali sana na makao makuu ya mikoa husika makao makuu yalipendekezwa yawe Nyakanazi.Mikoa ya Kigoma ,Geita yenyewe na kagera itakatwa kuunda wilaya za Nyakanazi,Bukombe,Biharamulo, buseresere na maeneo ya Muleba yatahusishwa .
Kama unaswali weka hapa nikujibu
Kuhusu kuunda mkoa mpya Nyakanazi, Kakonko na Ngara ilishapendekezwa na wabunge waunde mkoa kwa kua maeneo haya yako mbali sana na makao makuu ya mikoa husika makao makuu yalipendekezwa yawe Nyakanazi.
Kama makao makuu yatakua Chato itakua ni tatizo sana kwa kua kijiografia kutoka Chato hadi Kakonko itakua mbali sana.
Labda makao makuu ya Geita yakihamia Chato majengo ya Geita yakageuka shule au hospitali.
Zitto
Weka hii kichwani ,usibishane na mimi hili jambo ndio sababu ya mipango mikubwa kuiinua chato iwe juu na ikidhi hadhi ya mkoa,
Hii niliiambiwa na mkuu mmoja kazini nikiwa ziarani kanda ya ziwa yafuatayo lazima yafanyike:
Idadi ya watu mpaka sasa mkuu ametaka watu kuzaa sana hasa huku kanda ya ziwa wilaya zote zilizo karibu na chao.
Kuongeza vyanzo vya mapato vya uhakika hili ndio liko katika mkakati mkubwa na wanachato wanajua
Mikoa ya Kigoma ,Geita yenyewe na kagera itakatwa kuunda wilaya za Nyakanazi,Bukombe,Biharamulo, buseresere na maeneo ya Muleba yatahusishwa .
Kama unaswali weka hapa nikujibu,