Tetesi: Chato kuwa mkoa mpya na jina la mkoa kutangazwa soon na Chato kuwa makao makuu ya mkoa mpya

He he he he.
Naona Kiranja wa zamu kaamua aiseee.

Ila kila Rais anayeingia madarakani angeamua kufanya hivi kwao, Tanzania nzima ingekuwa Ulaya kwa sasa.

Yale mahela waliyoficha Uswisi yangetumika kujenga hata kwa ndugu zao huko wanakotoka, ingekuwa poa sana.
 
ni vizuri chattle iwe nchi tu kuunga mkono juhudi,very goooooddddddddddddddddd,waoooh😀😀😀😀😀😀😛😛😛😛😛😛😛😛😛🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂
 
Hakuna Tatizo Kwa kuwa Hata Sumaye akiwa PM ndio Manyara ikazaliwa kutoka Arusha

Katavi ilizaliwa kutoka Rukwa wakati wa Pinda

Tunategemea Pia Mkoa wa Ruangwa kutokea Lindi

Tulikuwa tunamsakama Jakaya anapendelea kwao Bagamoyo sasa tumepata Mtu anaetufundisha maana ya kupendelea kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…