Tetesi: Chato kuwa mkoa mpya na jina la mkoa kutangazwa soon na Chato kuwa makao makuu ya mkoa mpya

Tetesi: Chato kuwa mkoa mpya na jina la mkoa kutangazwa soon na Chato kuwa makao makuu ya mkoa mpya

Kudadeki hili naweza kuliamini kwa zaidi ya 99% maana mambo yanayoendelea kule chattle siyaelewi kabisa
International airport
Hospital ya rufaa
Taa za kuongoza magari
Crdb branch
Vyote hivyo vinafanywa bila bajeti kupitishwa na bunge wala nini[emoji23][emoji23]

Hapa ndio tunapata picha kuhusu Mwl. Nyerere
 
Ahhahahhaaa, mkuu , Mambo vipi ..!! Umetaja nyumbani huko mkuu daaah ,
Umenikuna aisee , na wewe ni huko ??

Nimepita hivyo vijiji Mara kadhaa mpaka Mkongoro, bitale Miaka mingi sana wakati tunakimbiza Mwenge!
 
He he he he.
Naona Kiranja wa zamu kaamua aiseee.

Ila kila Rais anayeingia madarakani angeamua kufanya hivi kwao, Tanzania nzima ingekuwa Ulaya kwa sasa.

Yale mahela waliyoficha Uswisi yangetumika kujenga hata kwa ndugu zao huko wanakotoka, ingekuwa poa sana.
Kivip sasa wakati marais ni watano tu na mikoa ni zaidi ya 20[emoji15] [emoji15]
 
Kudadeki hili naweza kuliamini kwa zaidi ya 99% maana mambo yanayoendelea kule chattle siyaelewi kabisa
International airport
Hospital ya rufaa
Taa za kuongoza magari
Crdb branch
Vyote hivyo vinafanywa bila bajeti kupitishwa na bunge wala nini[emoji23][emoji23]

Hapa ndio tunapata picha kuhusu Mwl. Nyerere
JENGO LA TRA
 
Hakuna Tatizo Kwa kuwa Hata Sumaye akiwa PM ndio Manyara ikazaliwa kutoka Arusha

Katavi ilizaliwa kutoka Rukwa wakati wa Pinda

Tunategemea Pia Mkoa wa Ruangwa kutokea Lindi

Tulikuwa tunamsakama Jakaya anapendelea kwao Bagamoyo sasa tumepata Mtu anaetufundisha maana ya kupendelea kwao
hakuna shida maendeleo yasogee karibu kwa watu, ruangwa hapana mkoa uwe masasi ruangwa, nachingwea, nanyumbu na tunduru ziwe ndani ya mkoa wa masasi
 
Back
Top Bottom