Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kweli wa Manyovu! Makabira ndio nini?Bora angefanya kakonko , ngara na biharamulo , angalau makabira ya huko yanaendana
Ahhahahhaaa, mkuu , Mambo vipi ..!! Umetaja nyumbani huko mkuu daaah ,Wewe kweli wa Manyovu! Makabira ndio nini?
Uone nini zaidi??Aisee siamini kama jamaa anaweza fika huko.yaleyale ya mobutu.ngoja tuone
Ahhahahhaaa, mkuu , Mambo vipi ..!! Umetaja nyumbani huko mkuu daaah ,
Umenikuna aisee , na wewe ni huko ??
Kivip sasa wakati marais ni watano tu na mikoa ni zaidi ya 20[emoji15] [emoji15]He he he he.
Naona Kiranja wa zamu kaamua aiseee.
Ila kila Rais anayeingia madarakani angeamua kufanya hivi kwao, Tanzania nzima ingekuwa Ulaya kwa sasa.
Yale mahela waliyoficha Uswisi yangetumika kujenga hata kwa ndugu zao huko wanakotoka, ingekuwa poa sana.
JENGO LA TRAKudadeki hili naweza kuliamini kwa zaidi ya 99% maana mambo yanayoendelea kule chattle siyaelewi kabisa
International airport
Hospital ya rufaa
Taa za kuongoza magari
Crdb branch
Vyote hivyo vinafanywa bila bajeti kupitishwa na bunge wala nini[emoji23][emoji23]
Hapa ndio tunapata picha kuhusu Mwl. Nyerere
Hata Dom ni kubwa sana Mkuu!Hahahahaha! Jamani li morogoro hawalioni lilivyo kubwa waligawe?
hakuna shida maendeleo yasogee karibu kwa watu, ruangwa hapana mkoa uwe masasi ruangwa, nachingwea, nanyumbu na tunduru ziwe ndani ya mkoa wa masasiHakuna Tatizo Kwa kuwa Hata Sumaye akiwa PM ndio Manyara ikazaliwa kutoka Arusha
Katavi ilizaliwa kutoka Rukwa wakati wa Pinda
Tunategemea Pia Mkoa wa Ruangwa kutokea Lindi
Tulikuwa tunamsakama Jakaya anapendelea kwao Bagamoyo sasa tumepata Mtu anaetufundisha maana ya kupendelea kwao
MabwakuziMabwaku[emoji15] [emoji124]
Mkuu,soon fiesta itaanza kufanyikia Chattle!Pelekeni na cocobeach hukooo...